This syringe is oversize for that little girltanzania budget is 16b usd
katika hio budget 75% ni internal and rest is loan and funds
View attachment 767833 View attachment 767834
kenya budget is 26b
but 17b usd from internal source and rest 9b usd from loan and funds
View attachment 767835
je umejifunza kitu hapoπππππ
uneona tofaut ya loan and funds in the budget???
tanzania is 3b while kenya is 9bπππ
We are flying places update your facts nowπππ JNIA imegeuka na kuwa port huko Watu wanavukishwa flooded aistrip kwa speed boats...hebu wekeni Picha kama mnafikiri nadanganya ππ
Hawa ni matomompo ,Shamba la Kenyatta linaanzia Riuri (Airport-North road) linapiga circle hadi Thika Road jirani na kahawa areaNashangaa mtu mzima anaongelea ndege. Wakati hana mahali pa kujenga nyumba yake. Nusu ya aridhi ya kwao inashikiwa na familia moja. Si ujinga huu?
date babaa, hiyo tu!We are flying places update your facts now
Ndege hata bado hazijafika.. they already have routes. Good marketingdate babaa, hiyo tu!
Mimi ninachomba kujua unasehemu ya kujenga au aridhi ni ya familia moja??πππ JNIA imegeuka na kuwa port huko Watu wanavukishwa flooded aistrip kwa speed boats...hebu wekeni Picha kama mnafikiri nadanganya ππ
Waguse waoneHawa ni matomompo ,Shamba la Kenyatta linaanzia Riuri (Airport-North road) linapiga circle hadi Thika Road jirani na kahawa area
Lakini ,eti mijisifa tu ,jamaa kwa ujeuri kawka Electrical fence (stima) alafu bado yanachekelea
Mimi ninachomba kujua unasehemu ya kujenga au aridhi ni ya familia moja??
Tanzania ardhi ni ya Serikali nyie maskuota tu mnahamishwa bila fidia ardhi ikihitajika kwa mradi.Cha kwako au wewe ni mlinzi tu wa kipande hicho cha ardhi!? Hebu uwe mkweli rafiki. Tanzania ardhi yote ni yetu unaweza kwenda kufyeka pori eneo lolote na kuana kulima kadiri ya nguvu zako.
Huoni tofauti hiyo ya wakenya na watanzania!? Tatizo majivuno yenu yanatufanya tuwatenge. Mgekuwa ni watu wasio na majivuno na matusi mngefaidi mengi sana ya tanzania. Tatizo hamjui kula na vipofu. Na bahati mbaya sasa kipofu anaona. Wa kulaumiwa ni nyie kwa ushamba wenu.