More than serious nahitaji mume wandugu

Karibu nahitaji mke pia but sina hiyo elimu vigezo vingine ninavyo
 
sio lazima utoe comment kila thread unayoiona! hususani kama huna muda wa kutosha kusoma na kuelewa mada.
wenzako kuna nyuzi nyingine uwa tnapita tu kama hatuna hojaza msingi, ni ushauri wa bure tu
Hawa ndio wale wenye kimuhe muhe
 
Tusiwe wa kukatisha tamaa , na chanzo cha changamoto
Wewe kwa akili yako ulishawai kusikia ukimwi una dawa .
Ktk umri ebu soma vizuri usikulupuke yeye anataka kijana wa umri 33-43 na si kwamba yeye ana umri kuanzia 33-43 .
Kama una binti ufunge sana na kuomba aolewe mapema . kiakili inasumbua sana .
Ktk Ukimwi ameonesha ukweli wake hata wewe hupendi ukimwi ,
Kuwa na wanawake wengi ukijikingia kifua unatumia kondomu ni kipimo tosha bado unamatamanio ya balehe
Sista aliomba ushauri ktk swala lake na si kumkejeli , ukimkeli mpe mwanga ktk kile ulichoona sahihi
 
Kwani ndoa ni elimu rafiki. Inawwzekana ndio maana hujaolewa hadi sasa. Mme hatoki shuleni anatoka kwa Mungu. Na hakikisha hivyo vigezo unavyo. Ila ushauri huku si mahali pake utafutia mme. Watajitokeza na wafiche makucha ili kukupata, akikupata anakunjua. Ingia magotini omba akupe mme
 
HIVI NINI KILINIPELEKEA KUOA MAPEMA ? GRIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII KUNA MABAHATI HUM MPAKA BAS
 
Sisi tuliojiajiri kumbe hatuna chetu. Ahsante dada.
 
Wanawake buana... Miaka 32 bado machaguo kibao. Hivi kuna uhusiano gani kati ya ndoa na diploma? Yaan kama enterview ya kazi jamani. Haya wenye sifa tiririkeni fursa hiyo.
 
Mlikuaga na nyodo sana nyie tukiwa sekondari huko. Sasa umri umesogea mnazugia makanisa ya kilokole.
 
Wanawake buana... Miaka 32 bado machaguo kibao. Hivi kuna uhusiano gani kati ya ndoa na diploma? Yaan kama enterview ya kazi jamani. Haya wenye sifa tiririkeni fursa hiyo.
Hata angekuwa na miaka 52 bado anayo haki yakusema anacho kipenda, kiwango cha elimu ni muhimu kwake.
 
Spot on... Misery loves company he must be a very miserable person that's why all the negativity instead telling her the right approach yeye in blah blah nyingi
 
Dude read between the lines.. Anatafuta mume mwenye umri huo
 
nlitaka nipitamo lakin naona kuna laana hapa....khaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…