More than serious nahitaji mume wandugu

More than serious nahitaji mume wandugu

TaUnatoka nje ya mada. Wewe ndio mnakuwadiana na huyo mwingine, for all I know nyinyi wamoja katika kutafuta mume, ambacho sio jinai. Tatizo, tangazo lako limepinda mno, huwezi kusema una umri kati ya 33 na 43. That's a decade long gap! Demu wa miaka 33 na shangazi lenye 43 ni binadamu wawili tofauti. Taja una umri gani ijulikane kama bado unazalishika.
Jamani someni tangazo vzr muelewe. Dada wa watu kasema ana miaka 32 na anatafuta mwanaume mwenye umri ulio range 33-34.
 
Re: ADVERTISMENT

More than serious nahitaji mume wandugu


Wana JF, mimi ni mwanadada na leo nimeona nijitoe muhanga kabisa maana ninahitaji mume/mchumba. Niko tayari kupokea kukosolewa ila kwa yule aliyeko kwenye shinda kama yangu tafadhali ni PM.
Mimi ni Mkristo ninayempenda Mungu na ninahofu ya Mungu ndani yangu, tayari niko kwenye umri wa miaka 32. Sijaolewa, sina mtoto na Ninatafuta/ Ninahitaji mume mwenye hekima, busara na upendo wa dhati na anaejua definition ya mke nini. Pia kama hajamaliza starehe za dunia za kupenda wanawake asiniandikie - kuna janga la ukmwi sitaki, nataka mtu wa kutulia ili tujenge maisha kwa raha na tabu.Mwenye umri kuanzia 33-43.

Napenda awe Mkristo aliye na hofu ya Mungu ndani yake. Awe amesoma walau elimu ya chini awe na diploma angalau awe na kabachela hivi kwa umri huo. Awe muajiriwa eidha katika shirika au serikalini kama ana mtoto mmoja sio mbaya wasizidi. Awe tayari kupima ukimwi zaidi ya mara 3. Awe muwazi.


Mimi ni muajiriwa katika shirika

Hili swala naomba tu mchukulie kwangu ni kitu halisi hapa sina utani na wala siko kwa ajili ya kumpotezea mtu muda. Na katika hili pia namshikirisha Mungu nikiamini mume/mke mwema anatoka kwa Bwana. Na pia kwa wale watakao nishauri na kunitia moyo kwenye hili nawashukuru. Kaka zangu popote pale ulipo na unajiona kweli unahitaji mke naomba uni PM lakini kama ni swala la mzaha au kujaribisha naomba usipoteze muda.
Umetumia ujana wako weehh afu unarudi huku na masharti lukuki. Wachumba walikuja ata 20s ukawaona maboya sasa zamu yako.
 
Sijaku-PM maana sina vigezo...bali nakuombea kwa Mwenyezi Mungu akupe mume bora kama kweli unamaanisha kuhitaji na kutulia naye mjenge familia.
 
Re: ADVERTISMENT

More than serious nahitaji mume wandugu


Wana JF, mimi ni mwanadada na leo nimeona nijitoe muhanga kabisa maana ninahitaji mume/mchumba. Niko tayari kupokea kukosolewa ila kwa yule aliyeko kwenye shinda kama yangu tafadhali ni PM.
Mimi ni Mkristo ninayempenda Mungu na ninahofu ya Mungu ndani yangu, tayari niko kwenye umri wa miaka 32. Sijaolewa, sina mtoto na Ninatafuta/ Ninahitaji mume mwenye hekima, busara na upendo wa dhati na anaejua definition ya mke nini. Pia kama hajamaliza starehe za dunia za kupenda wanawake asiniandikie - kuna janga la ukmwi sitaki, nataka mtu wa kutulia ili tujenge maisha kwa raha na tabu.Mwenye umri kuanzia 33-43.

Napenda awe Mkristo aliye na hofu ya Mungu ndani yake. Awe amesoma walau elimu ya chini awe na diploma angalau awe na kabachela hivi kwa umri huo. Awe muajiriwa eidha katika shirika au serikalini kama ana mtoto mmoja sio mbaya wasizidi. Awe tayari kupima ukimwi zaidi ya mara 3. Awe muwazi.


Mimi ni muajiriwa katika shirika

Hili swala naomba tu mchukulie kwangu ni kitu halisi hapa sina utani na wala siko kwa ajili ya kumpotezea mtu muda. Na katika hili pia namshikirisha Mungu nikiamini mume/mke mwema anatoka kwa Bwana. Na pia kwa wale watakao nishauri na kunitia moyo kwenye hili nawashukuru. Kaka zangu popote pale ulipo na unajiona kweli unahitaji mke naomba uni PM lakini kama ni swala la mzaha au kujaribisha naomba usipoteze muda.
 
Embu tupe sababu za wewe kuchelewa kuwa na mwenza mpaka sasa? Umekuwa unachagua saana ( so selective ) na sasa imekuwa too late Yale ya ndege mjanja huishia ktk tundu bovu au nini kimekuwa na wewe for all the time kuamini JF utampata MTU ukiona jibu lako liko so private ni PM
 
Je utakuwa tayari baada ya kupima kubeba mimba kabla ya ndoa,maana Siku hizi mimba tabu
 
Una miaka "33 - 43" ndio nini hicho, unaficha nini, au ni kibibi kimepigika?

Kama "mke mme mwema anatoka kwa Mungu," kwa nini unakuja kutafuta mume mitandaoni, kwani Mungu hajui kwamba unatafuta akushushie mume?

Kama unataka mtu wakuwa nae "kwa raha na tabu," kwa nini hutaki mtu mwenye tabu ya ukimwi? Kama hupendi mtu ambae hajamaliza starehe za dunia za kupenda wanawake kwa sababu "kuna janga la ukimwi," vipi ambae anajua kujikinga na ukimwi lakini anapenda wanawake? Na ukimwi si una dawa?

Mchumba awe "walau elimu ya chini awe na diploma angalau awe na kabachela." Hueleweki, diploma ndio nini na "kabachela" ndio nini?

Awe ameajiriwa kwenye "shirika au serikalini." Vipi kama ana mahekari ya mashamba ya kahawa na ng'ombe wa maziwa na nyama na maduka ya kubadilisha hela ambayo sio "shirika"? Unajua unachokiandika?

Hutaki mtu anaetaka "kujaribisha," well, mtu una mvua 43 usawa huu, nitajuaje bado unashika mimba wewe kama sijajaribisha kwanza?

Wife advertisement yako haijaenda shule.
Kudadeki! Wee ni nouma sana, nimependa majibu yako. Mtu anatafutaje mume wa kukuoa kwa kuchunguza tabia zake kwa kutumia darubini? Na huyo atakae kubali kuoa mtu mwenye 32yrs ni nani wakati Mungu wetu siku hizi inaelekea ni kijana.

Maana kwa uumbaji anaofanya Mungu huyu siku hizi nahisi Dada yetu (32) atasubiri sana na hayo masharti yake
 
Sipendagi kucomment ujinga ila hii kali. Yaani miaka 32 wamepiga weeee mpaka wamechoka ndo mtu anastuka istoshe bado ana masharti afu anasema serious. Na mtaisoma namba tu siku hizi mbegu 'xy' imeanza kuadimika na 'xx' za siku hizi ni hivi kama Mungu ndo anaanza uumbaji vile watoto ni wakali aisee. Afu amestuka mpaka anaomba na mwenye mtoto. Mimi nina mtoto na tayari Nina vigezo vyote unavyovitaja lkn lazima uandike barua ya maombi na interview ifanyike. Sio kizembe ivi
Hahahahahhaha.... Nimejikuta nacheeeeka mie!!!
 
Una miaka "33 - 43" ndio nini hicho, unaficha nini, au ni kibibi kimepigika?

Kama "mke mme mwema anatoka kwa Mungu," kwa nini unakuja kutafuta mume mitandaoni, kwani Mungu hajui kwamba unatafuta akushushie mume?

Kama unataka mtu wakuwa nae "kwa raha na tabu," kwa nini hutaki mtu mwenye tabu ya ukimwi? Kama hupendi mtu ambae hajamaliza starehe za dunia za kupenda wanawake kwa sababu "kuna janga la ukimwi," vipi ambae anajua kujikinga na ukimwi lakini anapenda wanawake? Na ukimwi si una dawa?

Mchumba awe "walau elimu ya chini awe na diploma angalau awe na kabachela." Hueleweki, diploma ndio nini na "kabachela" ndio nini?

Awe ameajiriwa kwenye "shirika au serikalini." Vipi kama ana mahekari ya mashamba ya kahawa na ng'ombe wa maziwa na nyama na maduka ya kubadilisha hela ambayo sio "shirika"? Unajua unachokiandika?

Hutaki mtu anaetaka "kujaribisha," well, mtu una mvua 43 usawa huu, nitajuaje bado unashika mimba wewe kama sijajaribisha kwanza?

Wife advertisement yako haijaenda shule.
daah pipoz wengine bwn ujue ujuaji mwingi mbele giza,hujaelewa nini sasa hapo Mkuu!!? # none sense#
 
Nie
Mbona nyie mnabishana humu wakati mwayego ameshapata pm. Kadhaa ndiyo maana kakaa kimya ila kwa ushauri wa bure tu dada yangu vuta pumzi na ujipange na kuna njia za kutafuta mume ambazo utawapata wengi na kujichagulia unayempenda kulingana na vigezo vyako ila hapa unaweza kupata makanjanja na wapigaji tu na watakupotezea muda na kukutumia na wanaume wanaijua sanaa vizuri na wanaweza pia kujiweka kwenye sifa unazotaka na wakakupitia na kukuacha uwanjani peke yako.

Ni pm. Kama utapenda nikuelekeze ili upate the right

Nielekeze mimi sizijui
 
Mi nina 30 vip pia nina degree karibu inbox zaid
 
Kuomba Mungu kila MTU anaweza, kusubiri majibu ndo changamoto lakn kumbuka mambo haya hayaachani "kuomba=kusubiri" ukishindwa kusubiri, umeshindwa kuomba na kinyume chake ni sawa, imani inasimamia vyote, kuomba ni imani na kusubiri ni imani pia, kushindwa kuomba au kushindwa kusubiri ni sawasawa na kukosa imani, ndiyo ni kukosa imani kwa yule unaemuomba, kwani yeye husikia kila ombi na hujibu maombi yote, yote kabisa, ndiyo yeye hujibu maombi yote kwa namna yake na wakati wake, hakawii wala hawahi, anajibu, kupokea majibu pia changamoto nyingine, kwani aweza kutoa sawasawa na ombi lako, hapo kuna hatari ya kuota kiburi cha uzima nakujiona wewe mtenda miujiza kwa kuwa kila unachotamka kinatimia, ukatenda dhambi ya "Lucifer" Mkuu wa Giza, lakini pia aweza kukupa zaidi ya ulivyoomba, ukabaki kuabudu vitu badala ya mtoaji, ukavunja amri ya Mungu inayokutaka kumwabudu yeye peke yake, na pia anaweza kukawia au kupunguza katika kile ulichoomba, wewe ukanyong'onyea, ukasononeka, ukakosa imani na kurudi nyuma, ukavunja kabisa nguzo ya uadilifu yaani kukosa Tumaini, ili kuwa tayari kukabili changamoto hizi za sala na makandokando yake, fadhila ya "unyenyekevu" ni ya lazima sana, hii ni fadhila inayomfanya muombaji "kumwachia Mungu awe yote katika yote" Barikiwa.
 
ifike hatua JF tukue kiakili, kimwili na kihekima... nijuavyo mimi humu jf wapo wastaarabu kuliko hata mtaani au barabarani... mtu anapokuja na wazo lake hebu liheshimuni basi na kama kwako limekaa vibaya pita tu... hujalazimishwa kumbuka..!!!
naboreka sana.. ni ujinga na upumbavu tu..!!!
 
Back
Top Bottom