Moreen, dawa yako iko jikoni inachemka

Mwanamke asiekupenda hata umfanyie tukio gan hata haimuumi.zaid unazid poteza mda ku deal nae

Tuliofanikiwa kujua code za wanawake tunaish kwa raha sana
Kweli mkuu yaani ni raha sana.
Unakuta akijiandaa kukufanyia kitu ili uumie unamuona kabla hata hajawaza akishaanza kuwaza unakuta umeshajiandaa kitambo akishaona kafanya halafu huwazi matarajio yake yanakwenda kinyume mwisho wa siku anaumia mwenyewe.
Yaani ukijulia ni kama kimchezo flani hv cha kucheza draft.[emoji3][emoji3][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Mkuu pole sana kwa yote! Wanaume tunapaswa kutambua kuwa mabint wengi wa siku hizi ni watata sana, Hivyo unapokuwa katika mahusiano nae ni vema kua makini nae na umsome kama kweli katika future mnaendana nae au yupo kwa ajili tu ya msaada unaompa! Jambo la kufahamu ni kwamba mwanamke hawezi kamwe kuanza kukuletea nyodo kama bado hajapata mtu mwingine anayeamini kuwa ni zaidi yako, tena mara nyingi katika uhalisia mtu huyo huwa si zaidi yako lakini kuna mambo machache yanakuwa yamemdanganya na akadanganyika! Hivyo kama tayari umeshamuona hana future wala hana msimamo we potezea mbali, Vyote ulivyompa fanya kama vile umepoteza pesa barabarani na hujui umepotezea wapi au nani kaokota, nakuhakikishia atarudi mwenyewe na hapo usikubali tena kurudi nyuma! Kama atakuta umeshavuta mke ndani akikanyaga tu nyumbani kwako amripoti kituoni ndio ajue kuwa huna mchezo tena!
 


πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
mikwara tu iyo mbuzi wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…