Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Unataka kunambia malaya wapo mbeya tu?Kuna watu wanawaharibia
Watu gani wanaotuharibia? Kama Wewe unaamini hivyo basi shauri yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kunambia malaya wapo mbeya tu?Kuna watu wanawaharibia
Nina uhakika wewe Ni mmoja kati ya wanawake wachache wanaojielewaUnataka kunambia malaya wapo mbeya tu?
Watu gani wanaotuharibia? Kama Wewe unaamini hivyo basi shauri yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Why mamy!NO!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]
Mimi natoka mbeya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nina uhakika wewe Ni mmoja kati ya wanawake wachache wanaojielewa
Hongera kwa Hilo.
Kweli mkuu yaani ni raha sana.Mwanamke asiekupenda hata umfanyie tukio gan hata haimuumi.zaid unazid poteza mda ku deal nae
Tuliofanikiwa kujua code za wanawake tunaish kwa raha sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijui ni kwa sababu wengi wetu wana miili mikubwa[emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3] mbeya wanajivunia Sana
Matako na ubabe ila sura mh!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na tunajiamini kupitilizas
Alishajumlisha woteMkuu sababu wapo ana sura " personal "unajumuisha wote??[emoji28]
Nilivoanzisha mahusiano na wewe nilikupenda Sana. Nilikuona ni mwanamke uliejielewa kumbe ulikua unapretend .
Hivi kweli wewe Ni wa kunivungia kiasi hiki mpaka unaniambia unajiskia kichefuchefu nikikukumbatia! Eti kisa spray yangu inanunikia vibaya! Mbona haikua hivyo mwanzo?.
Hata kiss imekua Kama almasi!!!!
Imekua kila ninachokwambia unajibu "NO" Tena bila maelezo yoyote.
Ni Mara ngapi nakusaidia wewe?.
Saiv unavunga ubabe au kisa unatoka mbeya! Ni vile tu siwezi kuitumia karate yangu kumpiga mwanamke ila ningekufua.
Nimekuandalia tukio litakalokuliza siku nzima make dawa ya mwanamke Ni mwanamke .
Wakuu mnisamehe Sana make ndo nimegundua mwanamke hapendwi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Afadhali umekuja mpwa
Hahahahaahahahahahah. Juzi nlikuona mazishini Lupaso
mikwara tu iyo mbuzi weweNilivoanzisha mahusiano na wewe nilikupenda Sana. Nilikuona ni mwanamke uliejielewa kumbe ulikua unapretend .
Hivi kweli wewe Ni wa kunivungia kiasi hiki mpaka unaniambia unajiskia kichefuchefu nikikukumbatia! Eti kisa spray yangu inanunikia vibaya! Mbona haikua hivyo mwanzo?.
Hata kiss imekua Kama almasi!!!!
Imekua kila ninachokwambia unajibu "NO" Tena bila maelezo yoyote.
Ni Mara ngapi nakusaidia wewe?.
Saiv unavunga ubabe au kisa unatoka mbeya! Ni vile tu siwezi kuitumia karate yangu kumpiga mwanamke ila ningekufua.
Nimekuandalia tukio litakalokuliza siku nzima make dawa ya mwanamke Ni mwanamke .
Wakuu mnisamehe Sana make ndo nimegundua mwanamke hapendwi.
Hujambo???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unapotea sana tatizooooDuuh kwahiyo mkuu ndiyo unatufokea wote
[emoji3] mbuzi Tena!mikwara tu iyo mbuzi wewe
Unapotea sana tatizoooo