fuentte
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 2,809
- 8,032
Basi niseme kutakuwa na mchuano kati ya magoli hayaKwani msimu umeshaisha ?
Uliliona goli la Dube dhidi ya Yanga ?
1. dube
2. tshabalala
3. morrison
Binafsi nimevutiwa na la Morrison leo hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi niseme kutakuwa na mchuano kati ya magoli hayaKwani msimu umeshaisha ?
Uliliona goli la Dube dhidi ya Yanga ?
Ni goli zuri sana lakini kwasababu msimu bado unaendelea tusubiri tuoneBasi niseme kutakuwa na mchuano kati ya magoli haya
1. dube
2. tshabalala
3. morrison
Binafsi nimevutiwa na la Morrison leo hii.
Edison lilikua ni karibu kuliko hata la morisonAkasubiri sana goal la morrison kidogo lifanane na lile la Edson Cavani
Hao ndo mashabiki walivyo,kama mahakamani wanakufunga dk sifuri tu.Tatizo la mashabiki ni hisia
Morison alivyopiga mashuti ya mbali mwanzoni ambayo hayakulenga lango watu wakaanza kumponda kua alitakiwa atoe pasi ila tamaa yake ya kutaka kufunga amejikuta akiiweka timu pabaya
wakati imetanguliwa goli moja
Now kapiga shuti la aina ile ile ambalo walimponda mwanzo na kupata goli, now wame-switch wanaanza kumpa kongole kua bao zuri
[emoji23][emoji23]Anaonekana babu kwa sura ila unaweza kuta kwenye ma-file ya Simba na FIFA anasomeka yupo 24/26.
Ma-gold diggers wa town letu au sio?Mimi ni mvutaji huyo hatumii bangi.Wavuta bangi ni watu makini sana.Apunguze anachofanya kwa sasa
Nimekutana na huyo jamaa kama mara tatu,kuna maisha ana pretend kuishi.Akikua ataacha.Ma-gold diggers wa town letu au sio?
hii picha alikua katoka kula kitu og cha uhakika[emoji23]