Morisson wetu yu wapi?

Smart AJ

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2022
Posts
5,564
Reaction score
5,884
Ni muda sasa umepita tangu warudi kikosini Ki Aziz, Bangala na Super BM, cha ajabu hawa wawili kila mechi wapo, jamani Morisson vipi?
 
Leo hujamuona?
 
Ni muda sasa umepita tangu warudi kikosini Ki Aziz, Bangala na Super BM, cha ajabu hawa wawili kila mechi wapo, jamani Morisson vipi?
Anatumikia adhabu huwezi kuichezea yanga utakavyo
 
Japo wengine wanabeza lkn umeuliza jambo zuri.

Mimi mwenyewe naliona pengo lake,awepo acheze japo kwa kupokezana na Farid.

Farid, Moloko sometimes wanazingua
 
Japo wengine wanabeza lkn umeuliza jambo zuri.
Mimi mwenyewe naliona pengo lake,awepo acheze japo kwa kupokezana na Farid,
Farid,Moloko sometimes wanazingua

Bahati mbaya kuna tetesi atakosa hata mechi za kimataifa,lol
 
Ni muda sasa umepita tangu warudi kikosini Ki Aziz, Bangala na Super BM, cha ajabu hawa wawili kila mechi wapo, jamani Morisson vipi?
Kapama, nyoni, okra, okwa wapo wapi mbona hawachezi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…