mpenda pombe
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 1,406
- 711
Me ni msikilizaji mzuri wa Radio Magic Fm, hasa kipindi chao cha Asubuhi.. Nilikua navutiwa sana na Uchambuzi wa Kibwana Dachi.. Ila sasa wanampa nafasi finyu sana, tofauti na mwanzo...
Jirekebisheni Mr Ok, Salum na Mary, Mnaanza poteza Wasikilizaji..
Jirekebisheni Mr Ok, Salum na Mary, Mnaanza poteza Wasikilizaji..