Elia
JF-Expert Member
- Dec 30, 2009
- 3,425
- 568
<br />
<br />
Asante kaka,ligi imeshaharibika una point 24 kibindoni nani wa kukupata
Mbona mnajihami fanyeni usajili wa maana na mazoezi, mshaanza kukata rufaa kabla ligi haijesha! nani kawakataza kujenga uwanja?