Morocco na kocha wao hawajabahatisha, walijipanga

Morocco ni mwakilishi wa CAF kwenye WC...
Wao kama wanajiona sio Waafrika basi wajue kuwa sisi Waafrika kupitia CAF tunewaagiza wakatuwakilishe huko na wakifanikiwa warudishe kombe kwenye ardhi iliyopo Afrika...

kwani wapi walisema wao sio waafrika? kwanini munakua na mihemko kama hivo? ngozi nyeusi ni hopless kabisa
 
kwani wapi walisema wao sio waafrika? kwanini munakua na mihemko kama hivo? ngozi nyeusi ni hopless kabisa

Wewe umesoma wapi ambapo waliposema wao ni waafrika?
 
hawa jamaa sio kipind hich tu cha kombe la dunia walisha tukataa Africa kitambo sana
 
Wanafiki mliojiondoa kwa MORROCO kwasababu ni wabaguzi msilete tena shobo bakini huko huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…