Morocco ni mwakilishi wa CAF kwenye WC...
Wao kama wanajiona sio Waafrika basi wajue kuwa sisi Waafrika kupitia CAF tunewaagiza wakatuwakilishe huko na wakifanikiwa warudishe kombe kwenye ardhi iliyopo Afrika...
kwani wapi walisema wao sio waafrika? kwanini munakua na mihemko kama hivo? ngozi nyeusi ni hopless kabisa