Morocco ni timu ambayo nimetokea kuipenda sana ikifuatiwa na Algeria

Morocco ni timu ambayo nimetokea kuipenda sana ikifuatiwa na Algeria

Ituzaingo Argentina

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2020
Posts
1,868
Reaction score
2,191
Morocco National football team, ni timu ambayo nimetokea kuipenda sana, ikifuatiwa na Algeria National football team, nawakubali sana. Hata wakikutana na Taifa Stars nitashabikia moja kati ya hizo timu pendwa.

Kwa hiki kilichotokea kwa mkapa baada ya game kumalizika na ushindi wa mabao mawili dhidi ya Taifa Stars, ni dhahiri Morocco inapendeka/inakubalika, the best team in Afrika namba 1

Angalia hapa, timu bora Afrika, yenye mastaa wanaokipiga nje ndani, kila mmoja pale anatamani kupiga nao picha kama kumbukumbu.


View: https://www.instagram.com/reel/Cz9lHTjr925/?igshid=MzRlODBiNWFlZA==

God bless Morocco players 🇲🇦 you are the best!
 
Ila wao hawakupendi.

Kuna mtu alisema si rahisi timu za bongo kuzifunga timu za arabuni sababu kuna watu wanajiona inferior kwa waarabu hasa kwa sababu za kidini sasa naanza kuelewa.
 
Wengiwao sio watanzania hapo ni watu wakwao bongo hatuna shobo sana na watu tusiowajua sisi ni wazalendo ...😂
 
Ila wao hawakupendi.

Kuna mtu alisema si rahisi timu za bongo kuzifunga timu za arabuni sababu kuna watu wanajiona inferior kwa waarabu hasa kwa sababu za kidini sasa naanza kuelewa.

Dini imeingiaje hapa! Na umejuaje hawatupendi!

Jieupusheni sana na dhana, kwani hakika baadhi ya dhana ni dhambi.
 
Dini imeingiaje hapa! Na umejuaje hawatupendi!

Jieupusheni sana na dhana, kwani hakika baadhi ya dhana ni dhambi.

Kama wewe unavyoloa kwa miarabu kuna players nao ni hivyo hivyo. Mkiwaona miarabu tu mnaloa, kwa style hiyo timu zetu haziwezi fua dafu kwao.
 
Kama wewe unavyoloa kwa miarabu kuna players nao ni hivyo hivyo. Mkiwaona miarabu tu mnaloa, kwa style hiyo timu zetu haziwezi fua dafu kwao.

Ndio maana nikasema acha dhana, baadhi ya dhana ni dhambi... mnapenda kudhania watu vitu ambavyo hamuna uhakika-navyo

Sasa hapo kati yako wewe na wamorocco ni nani mbaguzi?
 
TImu nyngine za Taifa kamwe siwezi zishabikia zinapokutana na Taifa la Tanzania.
 
Back
Top Bottom