So msiba tunausafirisha au msimbazi makaburini?Mwendo kaumaliza
YUsikimbie siku hyo shost...Sawa kaka
Hamna cha kupoteza kwamba mshachukua kombe au?Ogopa sana unapopambana na mtu ambaye hana cha kupoteza. Wydad ana vingi vya kupoteza katika gemu ile na Simba hana cha kupoteza. Jeshi langu likitulia linaenda kuweka historia mpya.
Binafsi napenda sana moments kama hizo, ni moments za kujidhihirisha wewe ni nani na kukata kauli za wanaokubeza.
Watanzania hasa hawa wa pwani na zanzibar wanakawakaida ya kuwainua sana waarabu.Naona tunawakuza sana hawa Wydad,mbona wanafungika?mwalimu aandae vijana vizuri tu mwarabu anakufa kwao.
Mwamedi mwenyewe anaogopa [emoji23]Ogopa sana unapopambana na mtu ambaye hana cha kupoteza. Wydad ana vingi vya kupoteza katika gemu ile na Simba hana cha kupoteza. Jeshi langu likitulia linaenda kuweka historia mpya.
Binafsi napenda sana moments kama hizo, ni moments za kujidhihirisha wewe ni nani na kukata kauli za wanaokubeza.
Ikiwa kwao ...umekufaWatanzania hasa hawa wa pwani na zanzibar wanakawakaida ya kuwainua sana waarabu.
Hao waydad sijaona ukali wao upo wapi mechi nyingi za nyuma wametoa sare au ushindi mdogo wamepata..
Ata aina yao ya uchezaji ni kawaida sana.
Hapo Morocco simba anaweza kucheza nao vizuri tu na akawazuia kabisa wasifunge.
MikiaSimba ...au wydad
Acha uzwazwaπ§πππ₯πππ
Wakuu ....kitaalamu tunaitaje hii
Taarifa Kutoka Morocco hadi sasa tayari tiketi zote majukwaa ya zone 4 na zone 7 zimekwisha.[emoji119]Na leo tiketi za Zone 5 zimekwisha Sasa zilizobaki ni hizi za mabosi VVIP je Mwekezaji atakuwepo nae Casablanca Kama alivyokuwa kwa mkapa.
NB;Kwa wale ambao wameshaingia Uwanja wa mkwakwani Tanga ni sawa tu nakusema jukwaa la urusi limeshajaa[emoji119][emoji23].
NB: picha haihusiani na mada ..... nmejaribu kutabiri[emoji23][emoji23]View attachment 2598496
Kumbe umetoa tarifa kwa huyo mhuniTunatoboaje hapa ....View attachment 2598498