Morocco: Tiketi za mechi ya Wydad na Simba zaisha

Morocco: Tiketi za mechi ya Wydad na Simba zaisha

Ogopa sana unapopambana na mtu ambaye hana cha kupoteza. Wydad ana vingi vya kupoteza katika gemu ile na Simba hana cha kupoteza. Jeshi langu likitulia linaenda kuweka historia mpya.

Binafsi napenda sana moments kama hizo, ni moments za kujidhihirisha wewe ni nani na kukata kauli za wanaokubeza.
 
Ogopa sana unapopambana na mtu ambaye hana cha kupoteza. Wydad ana vingi vya kupoteza katika gemu ile na Simba hana cha kupoteza. Jeshi langu likitulia linaenda kuweka historia mpya.

Binafsi napenda sana moments kama hizo, ni moments za kujidhihirisha wewe ni nani na kukata kauli za wanaokubeza.
Hamna cha kupoteza kwamba mshachukua kombe au?
 
Naona tunawakuza sana hawa Wydad,mbona wanafungika?mwalimu aandae vijana vizuri tu mwarabu anakufa kwao.
Watanzania hasa hawa wa pwani na zanzibar wanakawakaida ya kuwainua sana waarabu.

Hao waydad sijaona ukali wao upo wapi mechi nyingi za nyuma wametoa sare au ushindi mdogo wamepata..

Ata aina yao ya uchezaji ni kawaida sana.
Hapo Morocco simba anaweza kucheza nao vizuri tu na akawazuia kabisa wasifunge.
 
Ogopa sana unapopambana na mtu ambaye hana cha kupoteza. Wydad ana vingi vya kupoteza katika gemu ile na Simba hana cha kupoteza. Jeshi langu likitulia linaenda kuweka historia mpya.

Binafsi napenda sana moments kama hizo, ni moments za kujidhihirisha wewe ni nani na kukata kauli za wanaokubeza.
Mwamedi mwenyewe anaogopa [emoji23]
 
Watanzania hasa hawa wa pwani na zanzibar wanakawakaida ya kuwainua sana waarabu.

Hao waydad sijaona ukali wao upo wapi mechi nyingi za nyuma wametoa sare au ushindi mdogo wamepata..

Ata aina yao ya uchezaji ni kawaida sana.
Hapo Morocco simba anaweza kucheza nao vizuri tu na akawazuia kabisa wasifunge.
Ikiwa kwao ...umekufa
 
𝗧𝗔𝗔𝗥𝗜𝗙𝗔

Wakuu ....kitaalamu tunaitaje hii

Taarifa Kutoka Morocco hadi sasa tayari tiketi zote majukwaa ya zone 4 na zone 7 zimekwisha.[emoji119]Na leo tiketi za Zone 5 zimekwisha Sasa zilizobaki ni hizi za mabosi VVIP je Mwekezaji atakuwepo nae Casablanca Kama alivyokuwa kwa mkapa.

NB;Kwa wale ambao wameshaingia Uwanja wa mkwakwani Tanga ni sawa tu nakusema jukwaa la urusi limeshajaa[emoji119][emoji23].


NB: picha haihusiani na mada ..... nmejaribu kutabiri[emoji23][emoji23]View attachment 2598496
Acha uzwazwa
 
Back
Top Bottom