Herbert Nkuluzi
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,592
- 2,629
Weka na za Simba kabla ya Raja tuoneHoroya 0-0 Wydad
Wydad 5-0 Horoya
Stade Malien 1-0 Wydad
Wydad 3-0 Stade Malien
Petro Luanda 2-1 Wydad
Wydad 5-1 Petro Luanda
Heart of Oak 1-0 Wydad
Wydad 6-0 Heart of Oak
Rivers 2-1 Wydad
Wydad 6-0 Rivers
Simba 1-0 Wydad
Wydad[emoji824]-[emoji824] Simba
Hatuongei sana
Yanga Wana kikosi kipanaTuliaminishana waarabu kwao hawafungiki Yanga akamchapa Club Africain kwake ,mpira ni mchezo kila mtu acheze tu fair then tutaona nani anafuzu hakuna cha kuhofia.
You can't be the best until you defeat the best
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Simba atapigwa 6Horoya 0-0 Wydad
Wydad 5-0 Horoya
Stade Malien 1-0 Wydad
Wydad 3-0 Stade Malien
Petro Luanda 2-1 Wydad
Wydad 5-1 Petro Luanda
Heart of Oak 1-0 Wydad
Wydad 6-0 Heart of Oak
Rivers 2-1 Wydad
Wydad 6-0 Rivers
Simba 1-0 Wydad
Wydad[emoji824]-[emoji824] Simba
Hatuongei sana
Tunaitunza hii RISITIMnahangaika kama kuku watetea waliotayari kutaga..
Huyo wydad anafungwa tuko hapa...tunzeni comment yangu
Simba ni timu kubwa hivyo lazima uwanja ujae maana watu wanataka burudani ya soka. Ulitaka game ichezwe kwenye uwanja tupu kama ile game ya juzi ya Yanga vs River?𝗧𝗔𝗔𝗥𝗜𝗙𝗔
Wakuu ....kitaalamu tunaitaje hii
Taarifa Kutoka Morocco hadi sasa tayari tiketi zote majukwaa ya zone 4 na zone 7 zimekwisha.[emoji119]Na leo tiketi za Zone 5 zimekwisha Sasa zilizobaki ni hizi za mabosi VVIP je Mwekezaji atakuwepo nae Casablanca Kama alivyokuwa kwa mkapa.
NB;Kwa wale ambao wameshaingia Uwanja wa mkwakwani Tanga ni sawa tu nakusema jukwaa la urusi limeshajaa[emoji119][emoji23].
NB: picha haihusiani na mada ..... nmejaribu kutabiri[emoji23][emoji23]View attachment 2598496
Acha kuota
Labda atoboe pua au sikio.USIMKATIE MTU TAMAA!! In Mpenja's voice
Mpira unadunda Mkuu,..Mnyama akikaza anatoboa pale pale Mohamed V ni mbinu tu
Hafii ataishii na kwa vyovyote iwavyo atawapiga tu magoli nusu fainal uwezi kucheza kwa wachezaji kma mzamiru ,Boko sijuu saido hkuna ,huwezi kwenda tuliaa mwisho wako itakuwa robo for the restNaona tunawakuza sana hawa Wydad,mbona wanafungika?mwalimu aandae vijana vizuri tu mwarabu anakufa kwao.