Morocco: Tiketi za mechi ya Wydad na Simba zaisha

Morocco: Tiketi za mechi ya Wydad na Simba zaisha

Horoya 0-0 Wydad
Wydad 5-0 Horoya
Stade Malien 1-0 Wydad
Wydad 3-0 Stade Malien
Petro Luanda 2-1 Wydad
Wydad 5-1 Petro Luanda
Heart of Oak 1-0 Wydad
Wydad 6-0 Heart of Oak
Rivers 2-1 Wydad
Wydad 6-0 Rivers
Simba 1-0 Wydad
Wydad[emoji824]-[emoji824] Simba


Hatuongei sana
Weka na za Simba kabla ya Raja tuone

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Horoya 0-0 Wydad
Wydad 5-0 Horoya
Stade Malien 1-0 Wydad
Wydad 3-0 Stade Malien
Petro Luanda 2-1 Wydad
Wydad 5-1 Petro Luanda
Heart of Oak 1-0 Wydad
Wydad 6-0 Heart of Oak
Rivers 2-1 Wydad
Wydad 6-0 Rivers
Simba 1-0 Wydad
Wydad[emoji824]-[emoji824] Simba


Hatuongei sana
Simba atapigwa 6
 
𝗧𝗔𝗔𝗥𝗜𝗙𝗔

Wakuu ....kitaalamu tunaitaje hii

Taarifa Kutoka Morocco hadi sasa tayari tiketi zote majukwaa ya zone 4 na zone 7 zimekwisha.[emoji119]Na leo tiketi za Zone 5 zimekwisha Sasa zilizobaki ni hizi za mabosi VVIP je Mwekezaji atakuwepo nae Casablanca Kama alivyokuwa kwa mkapa.

NB;Kwa wale ambao wameshaingia Uwanja wa mkwakwani Tanga ni sawa tu nakusema jukwaa la urusi limeshajaa[emoji119][emoji23].


NB: picha haihusiani na mada ..... nmejaribu kutabiri[emoji23][emoji23]View attachment 2598496
Simba ni timu kubwa hivyo lazima uwanja ujae maana watu wanataka burudani ya soka. Ulitaka game ichezwe kwenye uwanja tupu kama ile game ya juzi ya Yanga vs River?
 
JINI BALEKEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!

MKANDAJI WA utopwinyo....KIBU DROGBAAAAAAAAAA

BEKI KATILI.......HENOCK INONGAAAAAAAAAAAAAAAAA

Wydad 0-1 Simba sc

3' Jean othos Baleke
 
Robertinhoo anasema kuwa anapenda mechi ijae mashabiki wengi kama alivyozoea kucheza katika uwanja wa Maracana nchini brazil miaka ya 1980's
 
Naona tunawakuza sana hawa Wydad,mbona wanafungika?mwalimu aandae vijana vizuri tu mwarabu anakufa kwao.
Hafii ataishii na kwa vyovyote iwavyo atawapiga tu magoli nusu fainal uwezi kucheza kwa wachezaji kma mzamiru ,Boko sijuu saido hkuna ,huwezi kwenda tuliaa mwisho wako itakuwa robo for the rest
 
Simba ni timu kubwa hivyo lazima uwanja ujae maana watu wanataka burudani ya soka. Ulitaka game ichezwe kwenye uwanja tupu kama ile game ya juzi ya Yanga vs River?
Sasa mbna mmekumbilia CAF kusemelea[emoji23]
 
Back
Top Bottom