Kuna Mzee onyango paleHafii ataishii na kwa vyovyote iwavyo atawapiga tu magoli nusu fainal uwezi kucheza kwa wachezaji kma mzamiru ,Boko sijuu saido hkuna ,huwezi kwenda tuliaa mwisho wako itakuwa robo for the rest
Mwanaume utachunguzaje body language ya mwanaume mwenzako?Kama utachunguza body language yake ....utaona ni mtu mwenye hofu
Askari wa zanzibarSisi wachambuzi .....tunachambua Hadi phycology ya kocha
Wameenda kusemelea kuwa uwanja umejaa?Sasa mbna mmekumbilia CAF kusemelea[emoji23]
Kuota kunaruhusiwa sema hakujawahi kumuacha mtu na mtokeo sahihi. Kuna timu za kumfunga huyo Mwarabu pale kwao ila sio Simba wala Yanga. Utake usitake utapigwa iwe mchana au usiku, huna beki wa kuwazuia wasifunge na huna mshambuliaji wa kuwafunga page kwao. Simba anaweza kushinda kama Wydad wataamua kujifunga wenyewe kwa makusudi ila sio vinginevyo, na ukimuomba Mungu atakuambia miguu si nimekupa? Haya Kapambane mbona hata hao wenzako wameshaniomba .Naona tunawakuza sana hawa Wydad,mbona wanafungika?mwalimu aandae vijana vizuri tu mwarabu anakufa kwao.
Sio vyote vinawezekana vipo vichache mno na kwa Simba ni miongoni mwa hivyo visivyowezekana pale CasablancaKila kitu kwenye mpira kinawezekana
EquationKuota kunaruhusiwa sema hakujawahi kumuacha mtu na mtokeo sahihi. Kuna timu za kumfunga huyo Mwarabu pale kwao ila sio Simba wala Yanga. Utake usitake utapigwa iwe mchana au usiku, huna beki wa kuwazuia wasifunge na huna mshambuliaji wa kuwafunga page kwao. Simba anaweza kushinda kama Wydad wataamua kujifunga wenyewe kwa makusudi ila sio vinginevyo, na ukimuomba Mungu atakuambia miguu si nimekupa? Haya Kapambane mbona hata hao wenzako wameshaniomba .
Nakuuliza huko CAF Simba wameenda kusema kuwa uwanja wa Mkapa ulijaa sana?Wanaogopa uwanja utakuwa unatisha
amka ukakojoe.....uko usingiziniMala paaap...Simba nusu fainali, khekhekheee
TusikimbianeSio vyote vinawezekana vipo vichache mno na kwa Simba ni miongoni mwa hivyo visivyowezekana pale Casablanca
Tunakimbiana vipi sasa wakati matokeo yapo wazi?Tusikimbiane
Na iwe hivyooooo, inshaallahMnahangaika kama kuku watetea waliotayari kutaga..
Huyo wydad anafungwa tuko hapa...tunzeni comment yangu