Morogoro: Askari wa Hifadhi ya Jamii ya Iluma (WMA) wadaiwa kuchoma moto nyumba za watu na mali zao

Morogoro: Askari wa Hifadhi ya Jamii ya Iluma (WMA) wadaiwa kuchoma moto nyumba za watu na mali zao

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Kaya kumi na nane za eneo la Kisaki Kijiji cha Mbuyuni Minepa, Wilaya ya Ulanga mkoani Morogoro hazina mahali pa kuishi baada ya nyumba zao vyakula pamoja na vitandea kazi kudaiwa kuchomwa moto na askari wa Hifadhi ya Jamii ya Iluma (WMA) kwa madai ya kuvamia eneo la hifadhi

 
Hawa watu ni nani anawapa haya mamlaka? Wananchi wakijichukulia sheria mkononi wasiulizwe
 
tupo nchi ambayo ukiishi maeneo yenye rasilimali au vivutio ni laana
 
Kaya kumi na nane za eneo la Kisaki Kijiji cha Mbuyuni Minepa, Wilaya ya Ulanga mkoani Morogoro hazina mahali pa kuishi baada ya nyumba zao vyakula pamoja na vitandea kazi kudaiwa kuchomwa moto na askari wa Hifadhi ya Jamii ya Iluma (WMA) kwa madai ya kuvamia eneo la hifadhi

View attachment 3194030
 

Attachments

  • 5919305-ec605a136bd2bee9b52fbc92e106fc6e.mp4
    7.4 MB
mbona watu wanazuiwa kuishi eneo husika na wanapewa mda wa kuhama hawatii mamlaka wao mnawachukuliaje!???
Wahame waende wapi kwenye nchi yao? Mbona waarabu mmewaleta huko hifdhini?
Kuna sehemu mbadala mmewajengea ama kuwatengea wakakataa?
 
Hongera askari kwa kufanya kazi yenu wananchi wanaovamia hifadhi baadaye wanakuja kutengeneza mgogoro mkubwa wa ardhi, wanapoachwa huzaliana na kualika ndugu zao kuwaonyesha kwamba kuna ardhi ya Bure na hapo wanapovamia na kuanza kufanya shughuli za kijamii inakuwa vigumu sana kuwatoa.
 
Back
Top Bottom