Morogoro: Atuhumiwa kula njama kumuua mumewe ili ale raha na bodaboda

Morogoro: Atuhumiwa kula njama kumuua mumewe ili ale raha na bodaboda

Hahaha mudi alikuwa anapaka wanja na hina na kumlamba mdomo na kumnyonya ulimi mwanamme mwenzake al Hussein msikitini.

HONGERA JITU JEUSIII TII KAMA TAKO LA IDDI AMIN LINATAMANI KUWA MWARABU
Allah achukue kisasi kwa kuvunjiwa heshima Mitume wake. Watu waovu nyinyi mna mawazo ya kishenzi na machafu, mnaowatukana wabora katika viumbe Mitume wa Allah (Amani iwe juu yao wote). Allah awaongoze katika njia iliyonyooka au atuondolee shari yenu kwa namna atakayoona inafaa kwake Yeye.

Swala na Salamu ziwe juu ya Kipenzi chetu Mtume Muhammad. Allah anatosha kumkinga Mtume wake kutokana na wanaomkejeli

إِنَّا كَفَيْنَٰكَ ٱلْمُسْتَهْزِءِينَ

Indeed, We are sufficient for you against the mockers

(Qur'an 15:95)
 
Ipo, mara nyingi hukumu ni fidia.
Haipo serikalini, ingekuwepo hata mimi ningekuwa nimefungwa siku nyingi.
Mtaambiwa, nendeni mkamalizane kifamilia kama ndugu. Kwa kesi za kimila, hasa kijijini ndiko kuna fidia maana huko wanaishi kwa utamaduni kwa kufuata sheria za mila.
Hapa mjini, utagongewa na huwezi kumpeleka polisi lbd wewe mwenyewe uchukue sheria mkononi
 
Haipo serikalini, ingekuwepo hata mimi ningekuwa nimefungwa siku nyingi.
Mtaambiwa, nendeni mkamalizane kifamilia kama ndugu. Kwa kesi za kimila, hasa kijijini ndiko kuna fidia maana huko wanaishi kwa utamaduni kwa kufuata sheria za mila.
Hapa mjini, utagongewa na huwezi kumpeleka polisi lbd wewe mwenyewe uchukue sheria mkononi
Hizi kesi zina fidia mahakamani bro
 
Mali sio kweli.!! Ila kero za ndoa ndo chanzo kikubwa.
Ebu ji tathmini kama kuna hali unayo ni dhaifu juu yako.
1.Mapenzi ya zamani kama yamepungua.
2.Mazungumzo mazuri.
3.Mapenzi yani Tendo la Ndoa.

Kati ya hayo wapi yamepungua 80% jitathmini hapo…!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] boda boda mi5 tena, na pipkpik zimemwagwaa mpyaaa karibuni, ndoa zitakomaaa.
Mbona kama unafurahi boda boda wanavyotuharibia ndoa zetu! Anyway huyo mke na bodaboda wamenitia hasara ya nauli ya kupeleka ndugu wa marehemu msibani Maswali, pumbavu zao, hiyo pesa wananguwngekula sangara fresh kabisa.
 
Mathematically 2-1=1 (walikuwa wale raha wawili ila jera ataenda peke yake). Uliyemtarajia anabaki kula raha na wengine. Jamii haijui hesabu ndo maana inaangamia

 
Ebu ji tathmini kama kuna hali unayo ni dhaifu juu yako.
1.Mapenzi ya zamani kama yamepungua.
2.Mazungumzo mazuri.
3.Mapenzi yani Tendo la Ndoa.

Kati ya hayo wapi yamepungua 80% jitathmini hapo…!!
Nijitathimini kwani mi ndo mke wa marehemu??
 
Teacher kwa Nini usinge muacha hiyo mke...
Najua aliwaza malezi ya watoto! Lakin hiyo mwanamke ni shetani...
 
Mbona kama unafurahi boda boda wanavyotuharibia ndoa zetu! Anyway huyo mke na bodaboda wamenitia hasara ya nauli ya kupeleka ndugu wa marehemu msibani Maswali, pumbavu zao, hiyo pesa wananguwngekula sangara fresh kabisa.
Poleeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom