Morogoro: Auawa na Binamu yake kwa kukatwa mapanga, sababu ikidaiwa ni ugomvi wa wazazi baina ya muuaji na marehemu

Morogoro: Auawa na Binamu yake kwa kukatwa mapanga, sababu ikidaiwa ni ugomvi wa wazazi baina ya muuaji na marehemu

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,067
Reaction score
10,938
Mwanafunzi wa darasa la 7 Shule ya Msingi Mwenge, Manispaa ya Morogoro, Faidhati Ibrahim (13) ameuawa kwa kukatwa na mapanga na kaka yake ambaye ni binamu anayetambulika kwa jina la Shomari Malima akiwa katika nyumbani kwao mtaa wa Tambukareli Kata ya Kingolwila. Sababu ya mauaji hayo imetajwa kuwa ni ugomvi kati ya mama wa marehemu na mama wa mtuhumiwa.

Faidhati.jpg

Picha: Faidhati Ibrahim enzi za uhai wake


 
.
Mwanafunzi wa darasa la 7 Shule ya Msingi Mwenge, Manispaa ya Morogoro, Faidhati Ibrahim (13) ameuawa kwa kukatwa na mapanga na kaka yake ambaye ni binamu anayetambulika kwa jina la Shomari Malima akiwa katika nyumbani kwao mtaa wa Tambukareli Kata ya Kingolwila.
Kabla ya kuileta huku hii taarifa ulitakiwa uwe na habari kamili maana hata chanzo cha mauaji hujakiweka wazi, yalitokea lini?
 
.Kabla ya kuileta huku hii taarifa ulitakiwa uwe na habari kamili maana hata chanzo cha mauaji hujakiweka wazi, yalitokea lini?
Mwenye mamlaka ya kusemea hilo ni jeshi la polisi, hivyo wakitolea ufafanuzi nami nitaongezea nyama. Kwa sasa fahamu tu kuwa kuna mwanafunzi kauawa na Binamu Nyama ya Hamu.
 
Hiki kitufe cha mauaji aliyekibonyeza tunaomba ukizime duuh sio poa
 
Utasikia “not guilty, reason of insanity”
 
Duuuu hii nchi inatisha sasa khaaah, [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Siku hizi watu hawaogopi kabisa kwenda jela! Sijui ujasiri wanaupata wapi! Na wakati sisi enzi zetu ilikuwa hata kuwaona polisi tu wakipita barabarani, unatamani kukimbia.

Natamani huyo mtuhumiwa akahifadhiwe gereza la Kilimo Kiberege, au Idete kule Kilombero ili akaione dunia namna ilivyo na sura nyingi.
 
Back
Top Bottom