Pre GE2025 Morogoro: Baadhi ya watu wanaojitambulisha kuwa ni viongozi wa CCM wanapita kaya kwa kaya kuuliza itikadi za watu

Pre GE2025 Morogoro: Baadhi ya watu wanaojitambulisha kuwa ni viongozi wa CCM wanapita kaya kwa kaya kuuliza itikadi za watu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Vichekesho

Member
Joined
Jun 20, 2024
Posts
66
Reaction score
3,277
Wakifika kwako wanataka kujua idadi ya watu wenye miaka 18+ na wanataka uwaite mmoja baada ya mwingine kila mmoja ajitambulishe na aseme yeye yuko chama gani.

Wanakuwa na daftari wanaandika, sasa kama mimi niko CHAUMA wewe kiongozi wa CCM inakuhusu nini? Je hakuna utaratibu wa kufahamiana kupitia matawi na mashina yenu? Mnarekodi watu wa vyama vingine ili mfanye nini?

Rais Samia nikweli umewatuma au wanakuchonganisha na raia? Mimi nimemtimua na fyekeo (kwanja) na nimemwambia asithubutu kukatisha kwenye viunga vya nyumba yangu.

NB:
Maadui wa taifa hili ni
1. CCM
2. CCM
3. CCM
 
Hiyo ni sensa ya wanachama,inapaswa kufanyika baada ya watu kuarifiwa rasmi kitaifa.
 
Uchaguzi ni maandalizi, ng'ombe hanenepi siku ya mnada
 
Utekaji unaanzia hapo
Wewe bado hujui huko kuteka ni "drama"?

Mimi najaribu tu kujikumbusha, enzi zile za CHADEMA ilyokuwa moto, haya yanayofanywa na CCM waziwazi kabisa wakati huu; hapo pasinge tosha kabisa.
CCM wanajuwa wanacho kifanya, na kwa bahati mbaya kabisa wakati huu hakuna wa kuwapinga juu ya ujinga wao huu!
 
Wakifika kwako wanataka kujua idadi ya watu wenye miaka 18+ na wanataka uwaite mmoja baada ya mwingine kila mmoja ajitambulishe na aseme yeye yuko chama gani.

Wanakuwa na daftari wanaandika, sasa kama mimi niko CHAUMA wewe kiongozi wa CCM inakuhusu nini? Je hakuna utaratibu wa kufahamiana kupitia matawi na mashina yenu? Mnarekodi watu wa vyama vingine ili mfanye nini?

Rais Samia nikweli umewatuma au wanakuchonganisha na raia? Mimi nimemtimua na fyekeo (kwanja) na nimemwambia asithubutu kukatisha kwenye viunga vya nyumba yangu.

NB:
Maadui wa taifa hili ni
1. CCM
2. CCM
3. CCM
Wakifika kwako wanataka kujua idadi ya watu wenye miaka 18+ na wanataka uwaite mmoja baada ya mwingine kila mmoja ajitambulishe na aseme yeye yuko chama gani.

Wanakuwa na daftari wanaandika, sasa kama mimi niko CHAUMA wewe kiongozi wa CCM inakuhusu nini? Je hakuna utaratibu wa kufahamiana kupitia matawi na mashina yenu? Mnarekodi watu wa vyama vingine ili mfanye nini?

Rais Samia nikweli umewatuma au wanakuchonganisha na raia? Mimi nimemtimua na fyekeo (kwanja) na nimemwambia asithubutu kukatisha kwenye viunga vya nyumba yangu.

NB:
Maadui wa taifa hili ni
1. CCM
2. CCM
3. CCM

Wakifika kwako wanataka kujua idadi ya watu wenye miaka 18+ na wanataka uwaite mmoja baada ya mwingine kila mmoja ajitambulishe na aseme yeye yuko chama gani.

Wanakuwa na daftari wanaandika, sasa kama mimi niko CHAUMA wewe kiongozi wa CCM inakuhusu nini? Je hakuna utaratibu wa kufahamiana kupitia matawi na mashina yenu? Mnarekodi watu wa vyama vingine ili mfanye nini?

Rais Samia nikweli umewatuma au wanakuchonganisha na raia? Mimi nimemtimua na fyekeo (kwanja) na nimemwambia asithubutu kukatisha kwenye viunga vya nyumba yangu.

NB:
Maadui wa taifa hili ni
1. CCM
2. CCM
3. CCM
Wakija tena next time/day turekodie tuwanyooshe hao. Watuambie wametumwa na nan! Orodha ya wanachama Iko kwenye daftari siyo mitaani. Pia wasitegemee kwamba mtu akisema ni CCM lazima awapigie kura. Au ndo wanaandaa zile kanuni 3 za Nape
 
Kuna kituo kimoja tulienda kujiandikisha kadi ya mpiga kura,kuna karani mmoja akaanza kumuuliza jamaa utampigia mama? Yaani anapiga kampeni kabisa live live....Nikajisemea hii nchi imetekwa na ZZM kila upande.
 
Wakifika kwako wanataka kujua idadi ya watu wenye miaka 18+ na wanataka uwaite mmoja baada ya mwingine kila mmoja ajitambulishe na aseme yeye yuko chama gani.

Wanakuwa na daftari wanaandika, sasa kama mimi niko CHAUMA wewe kiongozi wa CCM inakuhusu nini? Je hakuna utaratibu wa kufahamiana kupitia matawi na mashina yenu? Mnarekodi watu wa vyama vingine ili mfanye nini?

Rais Samia nikweli umewatuma au wanakuchonganisha na raia? Mimi nimemtimua na fyekeo (kwanja) na nimemwambia asithubutu kukatisha kwenye viunga vya nyumba yangu.

NB:
Maadui wa taifa hili ni
1. CCM
2. CCM
3. CCM
Ungewaua kabisa
 
Wakifika kwako wanataka kujua idadi ya watu wenye miaka 18+ na wanataka uwaite mmoja baada ya mwingine kila mmoja ajitambulishe na aseme yeye yuko chama gani.

Wanakuwa na daftari wanaandika, sasa kama mimi niko CHAUMA wewe kiongozi wa CCM inakuhusu nini? Je hakuna utaratibu wa kufahamiana kupitia matawi na mashina yenu? Mnarekodi watu wa vyama vingine ili mfanye nini?

Rais Samia nikweli umewatuma au wanakuchonganisha na raia? Mimi nimemtimua na fyekeo (kwanja) na nimemwambia asithubutu kukatisha kwenye viunga vya nyumba yangu.

NB:
Maadui wa taifa hili ni
1. CCM
2. CCM
3. CCM
Waambie wewe NI mwenyekiti WA CCM
 
Maandalizi ni kurekodi majina ya watu na vyama vyao?
Jitahidi kidogo kunielewa maana yangu niliyo lenga hapo.

Kwanza kabisa, katika hali ya kawaida tu, mtu gani atakwenda kumhoji mwenzake kuhusu mlengo wa siasa zake? Mpaka huyo mtu aje kukuhoji, ni lazima aone huyo anaye mhoji ana walakini wa namna moja au nyingine maishani mwake.
Hilo linalofanywa na CCM siyo jambo la kawaida.
Na mbaya zaidi, hawa wananchi wanao hojiwa hawapati msaada wowote toka kwa vyama vingine vilivyopo nchini, hata kule kuwaelimisha juu ya HAKI zao tu wanashindwa?
 
Back
Top Bottom