LGE2024 Morogoro: CHADEMA wafichua uwepo wa vituo vya kuandikisha wapiga kura kwenye kambi ya Jeshi ya JKT

LGE2024 Morogoro: CHADEMA wafichua uwepo wa vituo vya kuandikisha wapiga kura kwenye kambi ya Jeshi ya JKT

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Baada ya videos kusambaa mtandaoni kwamba kumekuwa na uandikishwaji mkubwa wa wanafunzi underage kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, sasa hivi kumeibuka shutma mpya dhidi ya zoezi hilo.

Akiongea leo asubuhi, kada huyu wa CHADEMA amefichua kuwa kuna baadhi ya vituo vya kujiandikisha vimewekwa kwenye kambi za Jeshi (JKT) kitu ambacho kinavunja taratibu na kanuni za uchaguzi.

Soma pia: Arusha: CHADEMA yatangaza Maandamano kupinga Ukiukwaji wa Taratibu za Uandikishaji

"Kuna tukio ambalo tumelibaini, vituo vya uandikishaji kuwekwa kwenye kambi za ulinzi na usalama na hii imetokea kule Mlimba Morogoro kambi ya JKT ya Chita pamewekwa vituo viwili ndani ya kambi hiyo na wanaandikisha vijana waliopo kwenye kambi hiyo ya JKT, kinyume kabisa na kanuni ambazo zimepiga marufuku maeneo ya ulinzi na usalama kuwa sehemu ya kambi za vituo vya uandikishaji vya kupiga kura"

 
Wakuu,

Baada ya videos kusambaa mtandaoni kwamba kumekuwa na uandikishwaji mkubwa wa wanafunzi underage kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, sasa hivi kumeibuka shutma mpya dhidi ya zoezi hilo.

Ana usalama kuwa sehemu ya kambi za vituo vya uandikishaji vya kupiga kura"

KWANZA HAMNA WAGOMBEA MNAHANGAIKA NINI?
 
Wakuu,

Baada ya videos kusambaa mtandaoni kwamba kumekuwa na uandikishwaji mkubwa wa wanafunzi underage kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, sasa hivi kumeibuka shutma mpya dhidi ya zoezi hilo.

Akiongea leo asubuhi, kada huyu wa CHADEMA amefichua kuwa kuna baadhi ya vituo vya kujiandikisha vimewekwa kwenye kambi za Jeshi (JKT) kitu ambacho kinavunja taratibu na kanuni za uchaguzi.

Soma pia: Arusha: CHADEMA yatangaza Maandamano kupinga Ukiukwaji wa Taratibu za Uandikishaji

"Kuna tukio ambalo tumelibaini, vituo vya uandikishaji kuwekwa kwenye kambi za ulinzi na usalama na hii imetokea kule Mlimba Morogoro kambi ya JKT ya Chita pamewekwa vituo viwili ndani ya kambi hiyo na wanaandikisha vijana waliopo kwenye kambi hiyo ya JKT, kinyume kabisa na kanuni ambazo zimepiga marufuku maeneo ya ulinzi na usalama kuwa sehemu ya kambi za vituo vya uandikishaji vya kupiga kura"

Inteligensia ya Chadema ni ye level ya juu sana.

Chadema wameshindikana jamani.
 
Wakuu,

Baada ya videos kusambaa mtandaoni kwamba kumekuwa na uandikishwaji mkubwa wa wanafunzi underage kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, sasa hivi kumeibuka shutma mpya dhidi ya zoezi hilo.

Akiongea leo asubuhi, kada huyu wa CHADEMA amefichua kuwa kuna baadhi ya vituo vya kujiandikisha vimewekwa kwenye kambi za Jeshi (JKT) kitu ambacho kinavunja taratibu na kanuni za uchaguzi.

Soma pia: Arusha: CHADEMA yatangaza Maandamano kupinga Ukiukwaji wa Taratibu za Uandikishaji

"Kuna tukio ambalo tumelibaini, vituo vya uandikishaji kuwekwa kwenye kambi za ulinzi na usalama na hii imetokea kule Mlimba Morogoro kambi ya JKT ya Chita pamewekwa vituo viwili ndani ya kambi hiyo na wanaandikisha vijana waliopo kwenye kambi hiyo ya JKT, kinyume kabisa na kanuni ambazo zimepiga marufuku maeneo ya ulinzi na usalama kuwa sehemu ya kambi za vituo vya uandikishaji vya kupiga kura"

Ccm bwana wanashinda gani? Wanaficha vituo kama vile Nuclear
 
Wakuu,

Baada ya videos kusambaa mtandaoni kwamba kumekuwa na uandikishwaji mkubwa wa wanafunzi underage kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, sasa hivi kumeibuka shutma mpya dhidi ya zoezi hilo.

Akiongea leo asubuhi, kada huyu wa CHADEMA amefichua kuwa kuna baadhi ya vituo vya kujiandikisha vimewekwa kwenye kambi za Jeshi (JKT) kitu ambacho kinavunja taratibu na kanuni za uchaguzi.

Soma pia: Arusha: CHADEMA yatangaza Maandamano kupinga Ukiukwaji wa Taratibu za Uandikishaji

"Kuna tukio ambalo tumelibaini, vituo vya uandikishaji kuwekwa kwenye kambi za ulinzi na usalama na hii imetokea kule Mlimba Morogoro kambi ya JKT ya Chita pamewekwa vituo viwili ndani ya kambi hiyo na wanaandikisha vijana waliopo kwenye kambi hiyo ya JKT, kinyume kabisa na kanuni ambazo zimepiga marufuku maeneo ya ulinzi na usalama kuwa sehemu ya kambi za vituo vya uandikishaji vya kupiga kura"

Kwa hiyo wanajeshi na familia zao hawaruhusiwi kupiga kura sijaelewa

Mfano kuna makambi yako porini kabisa wako wao tu na familia zao kwenye mapori hayo kwa hiyo waende kupiga kura wapi?
 
Kwa hiyo wanajeshi na familia zao hawaruhusiwi kupiga kura sijaelewa

Mfano kuna makambi yako porini kabisa wako wao tu na familia zao kwenye mapori hayo kwa hiyo waende kupiga kura wapi?
Hii imeanza mwaka huu tu?😅😅😅
 
Kwa hiyo wanajeshi na familia zao hawaruhusiwi kupiga kura sijaelewa

Mfano kuna makambi yako porini kabisa wako wao tu na familia zao kwenye mapori hayo kwa hiyo waende kupiga kura wapi?
Kwahiyo hiyo kambi inayolalamikiwa iko porini?
 
CHADEMA tulizeni mshono hamna intelligencia nzuri msijidanganye...hata mkiwepo wote kuandikisha kufumuliwa kukopale pale...CCM imejijenga toka enzi na Enzi...mlichobakiza sahv ni kutapa tapa tu na soon chama kinaenda kaburini msipo madilika na uongozi wa juu...naiyona ACT inakuja kuleta ushindani.
 
CHADEMA tulizeni mshono hamna intelligencia nzuri msijidanganye...hata mkiwepo wote kuandikisha kufumuliwa kukopale pale...CCM imejijenga toka enzi na Enzi...mlichobakiza sahv ni kutapa tapa tu na soon chama kinaenda kaburini msipo madilika na uongozi wa juu...naiyona ACT inakuja kuleta ushindani.
Ni kweli aisee kwa kuficha vituo kwenye mapori lazima chadema washindwe
 
Kwa hiyo wanajeshi na familia zao hawaruhusiwi kupiga kura sijaelewa

Mfano kuna makambi yako porini kabisa wako wao tu na familia zao kwenye mapori hayo kwa hiyo waende kupiga kura wapi?
Mkuu kinachokataza ni Sheria na kanuni za uchaguzi sio Chadema wanakataa. Ukielewa hilo TU huna haja ya maswali mengi.

Kama kulikua na ulazima si wangejadikiana na kuweka utaratibu lakini wenzenu wanafanya kimya kimya. Je Wana nia njema? Au unaona nia njema hapo?
 
Back
Top Bottom