blackstarline
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 3,278
- 7,966
Eneo la heka 7 linauzwa ni sehemu nzuri kwa uwekezaji lipo maeneo ya Lugono Nyama choma karibu na Chuo cha Mzumbe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeme umefika na maji?Eneo la heka 7 linauzwa ni sehemu nzuri kwa uwekezaji lipo maeneo ya Lugono Nyama choma karibu na Chuo cha Mzumbe
Vyote vipo mkuuUmeme umefika na maji?
Oya nahitaji heka zote 7 kwa bei ya 1.6m.Eneo la heka 7 linauzwa ni sehemu nzuri kwa uwekezaji lipo maeneo ya Lugono Nyama choma karibu na Chuo cha Mzumbe
Duh ni bei chee sana, Mzumbe ni mjini unaweza wekeza na ikakulipa.Vyote vipo mkuu
Ni kilometa 1 mkuu, dah mkuu hiyo bei unauwa mkuu. Pale saivi pamechangamka sana ni shida tu inafanya niuze.Oya nahitaji heka zote 7 kwa bei ya 1.6m.
Umbali gani toka main road ya moro iringa?
Acha tu mkuu, ni shida tu ila kama mtu upo vizuri unafanya uwekeza wako safi kabisaDuh ni bei chee sana, Mzumbe ni mjini unaweza wekeza na ikakulipa.
Ok...niumbali gani toka chuo cha mzumbe? Weka contacts basiNi kilometa 1 mkuu, dah mkuu hiyo bei unauwa mkuu. Pale saivi pamechangamka sana ni shida tu inafanya niuze.
Lodge hapo za wanafunzi kugegedana sii inalipa kabisaAcha tu mkuu, ni shida tu ila kama mtu upo vizuri unafanya uwekeza wako safi kabisa
0717140170Ok...niumbali gani toka chuo cha mzumbe? Weka contacts basi
WALE TEMBO VIPI HAWASUMBUI SIKU HIZ?Eneo la heka 7 linauzwa ni sehemu nzuri kwa uwekezaji lipo maeneo ya Lugono Nyama choma karibu na Chuo cha Mzumbe
Chochote utakacho amaua kuwekeza hapo inakulipaLodge hapo za wanafunzi kugegedana sii inalipa kabisa
Documents ni hati ama?Chochote utakacho amaua kuwekeza hapo inakulipa
Hakuna Tembo kwa sasa vile tiyari maeneo karibia yote kuna watuWALE TEMBO VIPI HAWASUMBUI SIKU HIZ?
Documents ni hati
Documents ni hati ama
0717140170 namba zangu mkuuDocuments ni hati ama?
UNAPAFAHAM KULE SHAMBANI KWA DR WA SUA,KARIBU NA KILE KIMLIMA?Hakuna Tembo kwa sasa vile tiyari maeneo karibia yote kuna watu
nataka nikuletee mteja ndugu BS ila sijui uaminifu wako ukoje maana madalali tunapigwa sana0717140170
Usiwaze kabisa kuhusu hilo mkuu pia unaweza kumwambie kila heka 1 ni m2.2 hiyo lakini itakayo zidi kila heka 1 ni yakonataka nikuletee mteja ndugu BS ila sijui uaminifu wako ukoje maana madalali tunapigwa sana