blackstarline
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 3,278
- 7,966
- Thread starter
- #21
Mzumbe ni porini?Huko maporini nipoteze m2 zangu za nin mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzumbe ni porini?Huko maporini nipoteze m2 zangu za nin mkuu
🤣🤣🤣🤣 Pale mjini kabisa unaenjoy na totoz za chuo pale soweto village hotel huku unapapasa tako na pajaMzumbe ni porini?
UNAPAFAHAM KULE SHAMBANI KWA DR WA SUA,KARIBU NA KILE KIMLIMA?
Wewe kweli ni mwenyeji hadi Soweto unapapata hahaah🤣🤣🤣🤣 Pale mjini kabisa unaenjoy na totoz za chuo pale soweto village hotel huku unapapasa tako na paja
🤣🤣🤣🤣 Hapo sii ndio machinjioni kwa wanafunzi wa mzumbe mzeya🤣🤣🤣Wewe kweli ni mwenyeji hadi Soweto unapapata hahaah
Unauza zote Kwa pamoja au hata moja moja?Eneo la heka 7 linauzwa ni sehemu nzuri kwa uwekezaji lipo maeneo ya Lugono Nyama choma karibu na Chuo cha Mzumbe
Hata heka 1 sawa tuUnauza zote Kwa pamoja au hata moja moja?
Karibu sana mkuuNaeka kambi nkifanya research ndogo before maamuzi
blackstarline jibu hapaDocuments ni hati ama?
Mzeya naweza nunua heka mbili ?Karibu sana mkuu
Mkuu unaweza weka GPS coordinates za eneo tulikague remotelyEneo la heka 7 linauzwa ni sehemu nzuri kwa uwekezaji lipo maeneo ya Lugono Nyama choma karibu na Chuo cha Mzumbe
Unaweza bosiMzeya naweza nunua heka mbili ?
Ipo ile hati ya mauziano ambayo inatolewa na kijiji.blackstarline jibu hapa