Morogoro - LATRA: Kulikoni nauli ya Dumila Kilosa kubakia juu wakati barabara ni lami?

Morogoro - LATRA: Kulikoni nauli ya Dumila Kilosa kubakia juu wakati barabara ni lami?

Faana

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
38,657
Reaction score
44,759
Hivi karibuni imeelezwa kuwa barabara ya Dumila Kilosa imetiwa lami katika kipande cha kilomita 20+ zilizokuwa zimebaki kutoka Rudewa hadi mjini Kilosa, kabla ya kukamiilika kwa barabara hiyo nauli ya Dumila Kilosa Km 65 ilikuwa ni Sh 5000, na sasa bado nauli ni hiyohiyo pamoja na njia kuwa lami tupu.

Hivi ni viwango vya nauli na umbali wake
  1. Morogoro - Dumila ni Km 68 nauli ni Sh 3000
  2. Morogoro - Kilosa ni Km 133 nauli ni Sh 6000
  3. Morogoro - Gairo ni Km 129 nauli ni 6000
  4. Dumila - Kilosa ni Km 65 nauli ni sh 5000
  5. Dumila - Gairo ni Km 61 nauli ni Sh 3000
  6. Dumila - Turiani ni Km 40 nauli ni Sh 5000
  7. Kilosa - Mikumi ni Km 70 nauli ni Sh 6000 (Barabara ya vumbi)
Ukitazama nauli na umbali kwa mujibu wa viwango vilivyopo hakuna uwiano kabisa, wananchi wa baadhi ya maeneo wanaumizwa kwa kutozwa nauli ya juu mno labda kwakuwa hawana pakufikisha malalamiko yao ama wanaosimamia hiyo Mamlaka wana masilahi binafsi.
 
Wabongo mnapenda kulalamika mno... piga mbizi.
 
ANGALIA NAULI HIZO ZA DALADALA JIJINI DAR.

a. Kariakoo - Tegeta = 600
a. Kariakoo - Bunju = 1,000 @600+400
a. Kariakoo - Bunju = 1,150 @400+750
b. Makumbusho - Mbagara = 500
b. Makumbusho - Boko = 750
b. Bunju - Mbuyuni = 600
X. Kimara - Ferry = 650 UDART
c. Mbagara - Kariakoo = 400
c. Mbagara - Simu2000 = 500
c. Simu2000 - Bunju = 750


Yaani hakuna uwiano wa nauli kutokana na umbali sijui wameangalia kitu gani.
 
ANGALIA NAULI HIZO ZA DALADALA JIJINI DAR.

a. Kariakoo - Tegeta = 600
a. Kariakoo - Bunju = 1,000 @600+400
a. Kariakoo - Bunju = 1,150 @400+750
b. Makumbusho - Mbagara = 500
b. Makumbusho - Boko = 750
b. Bunju - Mbuyuni = 600
X. Kimara - Ferry = 650 UDART
c. Mbagara - Kariakoo = 400
c. Mbagara - Simu2000 = 500
c. Simu2000 - Bunju = 750


Yaani hakuna uwiano wa nauli kutokana na umbali sijui wameangalia kitu gani.
Possibly kuna wanaonufaika ha huo wizi, na yawezekana wapo maafisa wa LATRA wenye mabasi kwenye hizo njia
 
Possibly kuna wanaonufaika ha huo wizi, na yawezekana wapo maafisa wa LATRA wenye mabasi kwenye hizo njia
Alafu humu humu jf kuna watu wanajifanya wema sana kwa sababu ya kutetea wengine, issues kama hizi are acting they don't saw!
 
Alafu humu humu jf kuna watu wanajifanya wema sana kwa sababu ya kutetea wengine, issues kama hizi are acting they don't saw!
Ni kweli mkuu, kuna watu wana vipaji vya unafiki
 
Hivi karibuni imeelezwa kuwa barabara ya Dumila Kilosa imetiwa lami katika kipande cha kilomita 20+ zilizokuwa zimebaki kutoka Rudewa hadi mjini Kilosa, kabla ya kukamiilika kwa barabara hiyo nauli ya Dumila Kilosa Km 65 ilikuwa ni Sh 5000, na sasa bado nauli ni hiyohiyo pamoja na njia kuwa lami tupu.

Hivi ni viwango vya nauli na umbali wake
  1. Morogoro - Dumila ni Km 68 nauli ni Sh 3000
  2. Morogoro - Kilosa ni Km 133 nauli ni Sh 6000
  3. Morogoro - Gairo ni Km 129 nauli ni 6000
  4. Dumila - Kilosa ni Km 65 nauli ni sh 5000
  5. Dumila - Gairo ni Km 61 nauli ni Sh 3000
  6. Dumila - Turiani ni Km 40 nauli ni Sh 5000
Ukitazama nauli na umbali kwa mujibu wa viwango vilivyopo hakuna uwiano kabisa, wananchi wa baadhi ya maeneo wanaumizwa kwa kutozwa nauli ya juu mno labda kwakuwa hawana pakufikisha malalamiko yao ama wanaosimamia hiyo Mamlaka wana masilahi binafsi.
Nadhani Wamasai wanachangia hizi nauli..
 
Back
Top Bottom