nokwenumuya
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 820
- 2,896
- Thread starter
- #21
Jaribu kujifunza hata kama wewe ni kiazi.Stakabadhi gharani ni udalali yaani ingekua inatoka cash sawa, lakini mtu anashida hadi akukopeshe wewe chama cha ushirika unaesimama kama dalali hapana big no huko tulishatoka kalima apate chake chapchap mambo yaishe
Chama Cha Ushirika hakinunui mazao bali serikali imefanya iwe platform tu. Mnunuzi analipa moja kwa kwa Mkulima ndani ya masaa 48.