Morogoro: Msanii Emmanuel Elibariki 'Nay wa Mitego', akamatwa na Polisi

Achen ney atafte kick ya kupromot song yake bhana
 
Demokrasia inataka kuwaacha wananchi wamuadhibu wenyewe Ney wenyewe kwa 'kumkashifu" mtu wao kwa kuupuuza na kuacha kuupakuwa wimbo, vinginevyo tutampandisha chati bila sababu za msingi.
 
Wimbo upo vizuri kabisa ukiusikiliza hamna kosa lolote la kisheria, aliyoyasema kwenye wimbo ndiyo hayo yanayosemwa kila siku kwa mfano swala la kufoji vyeti aliloliimba na kumtaja Bashite mbona hata Gwajima analisema kila siku kanisani hakamatwi? Swala la mkuu kutoshaurika mkuu alikiri mwenyewe kuwa hashauriki sasa sioni kama nay ameimba kigeni, sijui kichaa kupewa rungu na hajamtaja mtu sasa ana kosa gani hii ni fasihi, sema kwa kuwa tuna dikteta uchwara basi atafanya kila namna ili kumuonea nay halafu kesho anawahi kanisani kumkejeli Mungu akijiita mpenzi wa Mungu mpenzi wa Mungu muonevu?

"Mkuu aliyepungukiwa na akili huwaonea watu sana" in Mwakasege's voice
 
Sasa mbona unajichanganya ebu soma ulicho andika jiepushe na ku turn hostile
 
Haina maana kwakuwa song lilishapekuliwa na limeshatapakaa dunia nzima.
 
Kichaa wetu kawa Kama wale Mababu tuliokuwa tunawajambisha Utotoni
 
Kama HUPENDWI ni HUPENDWI TU, utakamata wangapi na utapoteza wangapi? Sura mbaya, roho mbaya, kauli mbaya akupende nani?
 
Sie Tuendeleeni kumjambisha Baba Bashite mpaka akili zimkae sawa!

Wakat alipokuwa Waziri alikuwa haoni tulivyokuwa tunamchana Mkwere mwanzo mwisho? Kwan Yeye Urais wake una tofauti gan na wa Baba Ridh?
 
Hivi kweli watanzania tunakubali kurudi na kuishi maisha ya kipindi cha Mel Ha ha ha ha hatari hakuna rais ambaye hafanya kaz Ila sio Kwa huyu sizonje mpenda sifa Kwa mpaka sasa anaona anagombea urais na bado yuko kwenye kampeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…