NAKEMBETWA
JF-Expert Member
- Apr 20, 2012
- 3,517
- 3,135
Nakubaliana na wewe.The lyrics are more critical than abusive, ua kuhoji kama kuna viongozi wenye vyeti vya kughushi?
Mtawafunga wangapi?afungwe
Acha kumlinganisha mbowe wewe. Mbwe angekuwa raisi asingembeba bashite.hapo sio serikali ndio inataka wimbo wa ney uwe mashuhuri,bali ni ney mwenyewe ndiye anayetafuta umashuhuri kupitia mgongo wa serikali, na ukizingatia alikuwa ameshaanza ku-fade kimziki....wimbo kama huo wa ney ata kama angekuwa mbowe ambaye ni muhini na ni mpenda democrasia wa chadema yeye ndio angekuwa raisi (kwa mfano) ni lazima angeupa promotion sana huo wimbo mpaka ungeenda kwenye mtv awards nk. neema wa mitego hapo ulipo tunga nawingine tena au remix yake.
Hujasema, huenda zitakuwa zile vurugu za Wakulima na Wafugaji huko Mvomero..!Kwani kaishasema kakamatiwa nini
Hatutaki mtu lege lege asie na misimamo, mara kesho kuna ukuta mara oooh tumesigeza mbele mara oooh viongozi wa dini, hivi angekua rais uyu hali ingekuajeAcha kumlinganisha mbowe na vchaa wewe. Mbwe angekuwa raisi asingembeba bashite.
Siku zote nasemaga uhuru bila adabu ni wendawazimu... Mwache akanyee debe c alitaka kikiSafi sana, ashughulikiwe ipasavyo, kucriticise ni haki ila kutukana ni jinai.
Jamaa hana kesi hapo!hajataja mtu mbona?
Bashite... Bora angemtukana waziri mkuu, mwache akaisome nambaNani katukanwa?
Safi sana, wanamgeza mange, mwenzao yupo US, halafu natamani sana hao wanaojirekodi huko install kukashifu viongozi wakamatweVijana mliopo bongo msijifanye kumuiga MANGE KIMAMBI mtaumia na kuzipa familia zenu shida,hari ishakuwa mbaya .
Nae eti anajifanya shujaa... Kweli while muhimu... Siku hizi kila mtu akiitukana serikali wanaluita shujaa.. Sasa cjui akina Mandela na nyerere tuwaitajeUmaarufu wa kulazimisha huo,yaan wanatafuta mbinu ya kujikamatisha wenyewe ili majina yao yasikike masikioni pa watanzania,embu ona eti nawapenda watanzania wote.
Sasa hapo unachofurahia ni nini hasa!?Safi sana, wanamgeza mange, mwenzao yupo US, halafu natamani sana hao wanaojirekodi huko install kukashifu viongozi wakamatwe