Kikwete, bashite... Tena hapo kwa bashite ndo kamkuna magu mbona ataisoma namba..~~~>>>Hapo hakuna kesi..... Hajamtaja mtu jina
Kwani jamaa anavutaga bhangiii????[emoji15] [emoji15]Labda kakutwa na Madawa ya kulevya aina ya Bhangi?
muuza ngada mbowe asingeweza kumbeba bashite kwa sababu anamfigisia ugali wake.Acha kumlinganisha mbowe na vchaa wewe. Mbwe angekuwa raisi asingembeba bashite.
Tutajie tusi lililoko kwenye huo wimbo.Safi sana, ashughulikiwe ipasavyo, kucriticise ni haki ila kutukana ni jinai.
Uhuru gani mnautaka watanzania? Wa kutukana viongozi jinsi mnavyotaka, sio kwa serikali ya magu, mtaisoma nambaAtashughulikiwa vilivyo kwa kosa la kutoa maoni yake! Hii ndo nchi yetu kwa sasa. Muda si mrefu itakuwa tofauti!
Nenda morogoro central ukaulizeAmemtukana nani?
Kufanya kazi ya Fasihi BILA KUTUMIA Fasihi. Waimbaji wanafikiri kuwa USANII ni uhuni na kukusanya maneno na midundo. Fasihi ni MATUMIZI ya LUGHA katika namna ya ufundi kuelimisha, kuburudisha na kufikisha UJUMBE KI-SANAA......sababu nini??
Aaah anajua watanzania watamtetea? Aende akanyee debe, not to that extent..."Eti nawapenda sana" huwezi tafta kiki kwa magu ,yeye anatafta respect alaf wewe unatafta kiki.
Kimesemwa nini kuhusu Rais ktk ule wimbo?Wimbo wake wa kumkashifu mtukufu rais unaitwa "wapo"
wakimaliza shughulikia hao waongeaji wataamia kwa nyie wakaa kimya...[HASHTAG]#asitupangie[/HASHTAG] [HASHTAG]#wapoo[/HASHTAG]Acha mie nikaushe isije tukajaa central watz wote
Kaimba kipi kipya ambacho hatujakisikia? C upuuzi tu, wacha akanyee debeYesu alimaliza kazi yake ndipo akasurubiwa lakini mbegu ya neno ilikuwa ishapandwa kwenye mioyo ya wanadamu..
Ney kasha fanya kazi...
Kumkamata nikusaidia tu wimbo uwafikie watu wengi zaidi,wengi watataka kujua ameimbaje hata kumpelekea akamatwe?; kwa hivyo serkali inajitshidi kujinyoga yenyewe
Anatumwa hospital India na yeyeAnapelekwa kufichwa kwa muda
Uhuru mnaoutaka not to that extent ya kutukana hovyo serikali bila kuwa na hoja zenye mashiko, wacha magu afanye kazi yakeRespect ipi anayotafuta Magu??Ya kutukana waliompigia Kura??
Hivi unawaambia RAIA wako wanapenda Umbea wakati Kiongozi unasikiliza kipindi cha Shilawadu??
Kama wanapenda Respect afuate sheria.Ukiona hivyo ujue watu wamechoka.Ndiyo ajifunze kutumia kauli njema na pia aende haki.
Kwani kuna MTU anaitwa Bashite??
We unaulizwa kakamatwa kwa kosa gani si uende central huko morogoro, ebu tupishe hukoMkuu wakikujibu naomba niite. Maana hili swali hata akiulizwa Marais wa hawamu zote sijui kama watakuwa na Jibu.
Si mkaulize polisi, kwani sisi ndo tumemkamata?amemtukana nani?
Nini? Miaka kama miwili hivi akitoka atakua anaimba gospelAkae cello miez kama minne hivi