master hassan
Member
- Feb 26, 2017
- 58
- 18
ALISEMA KWELI KILA MTU ANA KWAO NA FAMILIA YAKEEAcha kutuuambukiza uoga wa kitoto
Forget not to count yourself for that.Hata kama utalazwa nje ya jela ilimradi uwe chini ya ulinzi
Sawa dingiForget not to count yourself for that.
Kamtaja Bashite....labda na Askofu naye atadakwa soon maana hutaja sana hilo jina.~~~>>>Hapo hakuna kesi..... Hajamtaja mtu jina
Kama wewe sio muoga mbona unatumia ID fake???Acha kutuuambukiza uoga wa kitoto
naishi Tanzania, ulaya sijawai fika ila america nimefika, watanzania tuna ushabiki Wa kinafiki sana Mkuu. ndio maana Mh anasema mambo ya umbea kwa sababu hayajengi nchi na hayana faida kwa maslai ya nchi kiujumla wake. ushabiki ushabiki sio mzuriHivi unaishi ulaya au Tanzania? Aliye na macho haambiwi ona.
UmeelewekaMsanii wa kizazi kipya Emanuel Elibarik alimaarufu kama NEY wa mitego amekamatwa asubuhi hii huko morogoro
View attachment 486993
Sehemu ya wimbo wa Ney wa Mitego:
=======
Hivi Uhuru wa Kuongea bado upo? Siamini nchi inaendeshwa kwa kiki!
Nasikia kuna viongozi wamefoji vyeti? Wapooo! Mheshimiwa hivi unamjua Bashite kutoka Kolomije? We si Dokta wa kutumbua majipu?
We mtu gani sasa? Hutaki kushauriwa, hutaki kukosolewa? ...Naona kichaa kapewa rungu! Hahahaha.
Think about Newton's third law of motion , will you think about going back to school sir !!?Uhuru wako ukiutumia vibaya ujue unajigharim mwenyewe.
Nani alikupa Uhuru wa kutukana? Hata Mwenyezi Mungu mwenyewe hakuruhusu kila kitu ujifanyie unavyotaka bana.
Hakuna Uhuru wa kutukana,kukejeri,na kutumia lugha ya maudhi.
kichaa kapewa rungu.Kosa ni nini hapo?
Kaulize polisi binamuKamtukana nani?
Wanaoongozwa/ wanaotawaliwa na serikali hiyo wakoje?Serikali ya kipumbavu
Sio kila kitu mpaka mahakamani tu... anaweza akaonywa tu!
Hakuna kesi hpo mana bashite ni ukoo uko koromijee huko misungwi
Jamaa hana kesi hapo!hajataja mtu mbona?