Morogoro: Msanii Emmanuel Elibariki 'Nay wa Mitego', akamatwa na Polisi

Morogoro: Msanii Emmanuel Elibariki 'Nay wa Mitego', akamatwa na Polisi

Baraza la sanaa la taifa ndilo linawajibu wa kushughulika na kazi za sanaa na wasanii ikiwemo content ya kazi zao

Msanii akitoa kazi inayokuwa na content isiyo na maadili au isiyokubalika na jamii ya watanzani, ni BASATA ndio wanatakiwa kushughulika na msanii husika hata kumpatia adhabu inayostahili ikiwepo kuifungia kazi husika na msanii mwenyewe

hii ni tofauti kwa Nay wa Mitego!
kwa nini Amekamatwa na polisi ilhali BASATA ipo?
hapa jeshi limeingilia majukumu ya Basata!
ni nani katoa order ya Nay kukamatwa bila ya Basata?
Yatakuwa ni maagizo tu
 
Kila kitengo kilichoaminiwa na kupewa dhamana kipewe uhuru wa kufanya kazi zake.
Lkn sio kazi za mamlamka ya maji zinafanywa na Tanesco.
Nonesense
 
Mm naona ingekua bora kama kuna mtu amekashfiwa kwenye huu wimbo ajitokezee yy aseme ila sio kujipendekeza kwa kumkamata ney wakat hakuna alielalamika kua amekashfiwa..wabongo njaa zitatuua kwa kujipendekeza mm sioni kosa lake ney hapo.
 
Msanii wa kizazi kipya Emanuel Elibarik alimaarufu kama NEY wa mitego amekamatwa asubuhi hii huko morogoro

View attachment 486993



Sehemu ya wimbo wa Ney wa Mitego:

=======

Hivi Uhuru wa Kuongea bado upo? Siamini nchi inaendeshwa kwa kiki!
Nasikia kuna viongozi wamefoji vyeti? Wapooo! Mheshimiwa hivi unamjua Bashite kutoka Kolomije? We si Dokta wa kutumbua majipu?

We mtu gani sasa? Hutaki kushauriwa, hutaki kukosolewa? ...Naona kichaa kapewa rungu! Hahahaha

Acha ujuha kukosolewa sawa sio matusi, naona ile heshma ya taasisi ya urais imerejea na mtaelewa sasa, huyo domo alizoea kutukana wasanii wenzie akaona hata sasa anaweza kunya tu anavyojickia
 
Kama wimbo wa ney umekukera usiusikilize coma shida zako si za kila mtu....ukiona shida sana pasua tv/ redio/ simu yako.
 
Autro yake ndio inanimaliza kabisa anasema
"Mtu gani wewe usiyependa kushauriwa usiyependa kukosolewa umelogwa wewe unajiona ndugu yake Na yesu"
Kweli akichomoza hapa sizonje atakuwa kweli kipenzi cha mungu..
NAJARIBU KUTAFAKARI...
 
Nahisi rais anaona aibu kumtumbua makonda.Ila alishaamuua hivyo maana anahasira then hajui kwanin....
 
Hapakua na haja ya kuweka neno "kichaa", ndo mnafanya mitandao ya kijamii ionekane haifai
Yeye ni mtunzi wa nyimbo hauwezikumpangia hii vesi aiwekewapi,hakuna aliemsindikiza wakati anatunga nyimbo yake,yeye ndo anajua umuhimu au aja ya kuweka neno kichaa.
 
mods wanatumika mtu akitukana gvt kimya ila tofauti ya hapo uzi unafutwa sasa watajiponza na watarudi mtaani baada ya jf kufungwa
Sawa tu kwani wao sio wtz,kama ni ugum wa maisha hata wao wanauona,wakat anatunyoosha sis tunanyoosha kiana!!...
Acha ujuha kukosolewa sawa sio matusi, naona ile heshma ya taasisi ya urais imerejea na mtaelewa sasa, huyo domo alizoea kutukana wasanii wenzie akaona hata sasa anaweza kunya tu anavyojickia
 
Kama wimbo wa ney umekukera usiusikilize coma shida zako si za kila mtu....ukiona shida sana pasua tv/ redio/ simu yako.
Kwanza wasimpangie Ney, aliamua kuwa msanii mwenyewe, alienda studio mwenyewe hakuna aliye mlazimisha, kwa hiyo wasimpangie cha kuimba hapo
 
Msanii wa kizazi kipya Emanuel Elibarik alimaarufu kama NEY wa mitego amekamatwa asubuhi hii huko morogoro

View attachment 486993



Sehemu ya wimbo wa Ney wa Mitego:

=======

Hivi Uhuru wa Kuongea bado upo? Siamini nchi inaendeshwa kwa kiki!
Nasikia kuna viongozi wamefoji vyeti? Wapooo! Mheshimiwa hivi unamjua Bashite kutoka Kolomije? We si Dokta wa kutumbua majipu?

We mtu gani sasa? Hutaki kushauriwa, hutaki kukosolewa? ...Naona kichaa kapewa rungu! Hahahaha.

kama hayo maneno ulio malizia ndiyo yapo kwenye huo wimbo basi anastahiri kukamatwa bila hata ya basata kuhusika na kama wewe ndiye uliye andika basi unastahiri kuwa sero mda huu huwezi kukosoa mtu au kitu kwa kutenda kosa .
 
angekua hana uhuru hata muda wa kutunga hayo mashairi uchwara yake asingeupata.
 
kama hayo maneno ulio malizia ndiyo yapo kwenye huo wimbo basi anastahiri kukamatwa bila hata ya basata kuhusika na kama wewe ndiye uliye andika basi unastahiri kuwa sero mda huu huwezi kukosoa mtu au kitu kwa kutenda kosa .
Kosa ni nini hapo?
 
Back
Top Bottom