Morogoro: Msanii Emmanuel Elibariki 'Nay wa Mitego', akamatwa na Polisi

Eti imegoma kuatach...au na wewe uliituma iatach kama aliyetumwa hospitali kutibiwa..?? we sema umeogopa kuiweka
Ilikuwa kwenye mfumo wa .wav na nikaibadilisha kwenda mp3 lakini nikitaka kuatach inaniambia this community does not allow this file type
 
Maoni yako yanawakikisha uwezo finyu Wa MTU mweusi kujitambua yeye mwenyewe na mazingira yake. Ukweli utakuweka huru. Kemea uovu
 
Nielekeze namna ya kuattach. Niki highlight hiyo clip inaniambia share whatsapp, email n.k hakina option ya kushare jamii forum
Attach kutokea jf then ukibrowse nenda ilipo hiyo sauti, format nyingi inakubali humu
 
Maoni yako yanawakikisha uwezo finyu Wa MTU mweusi kujitambua yeye mwenyewe na mazingira yake. Ukweli utakuweka huru. Kemea uovu
Relax, maoni yangu hapo sio main topic. Main topic ni mtu kuwa detained.
 
kwa hiyo unataka kusema umesherehesha mambo? Uongo ni hatari kwa afya yako mkuu, hasa zama hizi
 
kwelii mbona tramph ajawasweka ndani walio mtusi live kwenye ngoma zaoo kweli nchi hiii haina uhuru wa kuongea *napita tuuuuuuu#
 
Unaesema nchi yetu kwa sasa hiyo nchi uliyoitaka wewe ulishazaliwa? Karibu wengi humu mmezaliwa baada ya nyerere mnafikiri upuuzi huu kwa Nyerere mngefanya? Mngeishia kwenye kamba gereza la isanga bila kuhoji kinachoendelea mnamuonea sana magu mnakotaka nyie siko kabisa mtakuja kulia na kusaza meno jifanyeni kujua tu
 
Ukitaka kuamini kwamba kuna kesi au hakuna fatilia ule wimbo uone mwenye usisubiri kuambiwa ili ujue mwenyewe
 
Wilaya ya mvomero kituo cha police hakuna ndio kinajengwa watuhumiwa wote wanapelekwa mjini moro kwani ni distance ndogo kutoka makao makuu ya mvomero
 
Uhuru wako ukiutumia vibaya ujue unajigharim mwenyewe.

Nani alikupa Uhuru wa kutukana? Hata Mwenyezi Mungu mwenyewe hakuruhusu kila kitu ujifanyie unavyotaka bana.

Hakuna Uhuru wa kutukana,kukejeri,na kutumia lugha ya maudhi.
Nitajie aliyetukanwa na verse ipi niingie utube tena maana nimeurudia mara 2 sijasikia akimtaja mtu hahhaha fasihi safi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…