Morogoro: Msanii Emmanuel Elibariki 'Nay wa Mitego', akamatwa na Polisi

Morogoro: Msanii Emmanuel Elibariki 'Nay wa Mitego', akamatwa na Polisi

Wengi wanachangia kwa kujipendekeza, kila kitu kipo clear. Anayesemwa amefoji vyeti angekana/angekanusha, sasa inapokuwa kimya na uteuzi wake kukaa kimya inaleta maswali mengi wakati waliofanya makosa madogo kuliko hayo walishughulikiwa mara moja.
 
Wanasema wanapamba na mihadarati lakini sijawahi kusikia wamekamata mzigo ni habari za kakamatwa kwa mabongofleva tu, huko kitaa mateja bado wanabembea tu. Udikteta wa Kilofa huu. Na huyu Pogba msishangae akibadilisha katiba atawale miaka 20.
 
99b37ca493a55883ef0dcefde6d5f668.jpg
 
Ney Kesho Kibatala atakutoa usiofu..
Hivi definition ya BASATA ya neno Maadili ni nn jameni?

Hawa BASATA ni kuku au Bata (Ney, 2016). Ha ha ha
Kuna viongozi wana vyeti feki.
Awamu hii kichaa kapewa rungu, Ney (2017).
 
Endele
A kuwa muoga kama kunguru, tunahitaji ukombozi na saa Ni hii
km muDa nDio huu, Basi Akili nDio ituongoze sio HISIA BINAFSI..
Shortly as I saiD, tusome Alama za NYAKATI, LA sivyo itakua ni km kuhamisha pesa kutoka mfuko wko wq kulia kwenDa wa kushoto
 
km muDa nDio huu, Basi Akili nDio ituongoze sio HISIA BINAFSI..
Shortly as I saiD, tusome Alama za NYAKATI, LA sivyo itakua ni km kuhamisha pesa kutoka mfuko wko wq kulia kwenDa wa kushoto
Alama za nyakati zinasemaje? Kwamba mtawala asikosolewe au? Wananchi wasiwe huru kuongea?
 
Back
Top Bottom