Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,057
- 10,367
Ngoja na mimi niingie studio kesho kurekodi .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndoto za mchana kweupeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.,.....ngoja wamkamate ili wasanii wengine wanaotumika sana na ccm wakati wa kampeni waamke na waikatae......wameanza na wema...sasa wako na huyu...kesho watakamata wengine...ili ni angalizo....muda kwa wasanii wote kuungana na kuwakataa hawa watawala dhalimu umefika....
Atakusimulia atakachofanywaWatamfanya nin sasa,kesi nin nin pale? Kaimba kawachan wasiopenda ushauri full stop!!...
hivi baba yako akokosea kitu unamwambia kwa kumtukana?
Vyet feki co jinai. .?Safi sana, ashughulikiwe ipasavyo, kucriticise ni haki ila kutukana ni jinai.
Amemtukana nani vile? Na kamtukana matusi gani? Mie sijabahatika kuusikiliza huo wimbo uliomtia matataniSafi sana, ashughulikiwe ipasavyo, kucriticise ni haki ila kutukana ni jinai.
simba akilala usiende kumvuta sharubu coz akiamka sio kwamba atakuchekea habari kila mtu anaijuaPole sana kijana kwa hiyo shuruba.
Na juzi Kuna mtu aligombea front page live hadi akatoa vitishoUkweli.unauma.Mnagombea front page.Hahahahahaha meseji imefika au??
Haya mkuu yangu macho nimeweka eneo la tukio kuona nini kinaendelea.simba akilala usiende kumvuta sharubu coz akiamka sio kwamba atakuchekea habari kila mtu anaijua
Sijui mahakamani kesi watai-frame vipi? Maana makosa hayatamkiki kama ile ya lissu na dik uchwara. Labda watambambikia kesi nyingine kabisa maana vinginevyo watashindwa kuthibitisha hizo kashfa wala wakashfiwaMkuu wakikujibu naomba niite. Maana hili swali hata akiulizwa Marais wa hawamu zote sijui kama watakuwa na Jibu.
Hauna upeo hata WA kuelewa lugha ya picha au mifano?Ney wa mitego mnamfananisha na Yesu, hivi vijana wa CHADEMA Mmelogwa na nani ?
Malizia hapo na central MTU kasha endaWimbo ushasikika. Ujumbe ushafika