Morogoro: Msanii Emmanuel Elibariki 'Nay wa Mitego', akamatwa na Polisi

Si mmekataa Makonda sio Bashite sasa mnalialia nini?tulieni mziki umeenda shule,halafu yule kiongozi anayegombania front page,haaaa haaaaa wachomee
 
Duh in mwendo wa kjaza magereza,wajiandae kujenga mahakma zingne maana kwa mtindo huu ,itakuwa kma kero ya madawat
 
Safi sana, ashughulikiwe ipasavyo, kucriticise ni haki ila kutukana ni jinai.
ametoa tusi gani hapo sasa? au wewe ndio hauna marinda, mbona umeruka sana kama umekalia kidole cha mtu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…