TUTUO
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,251
- 2,030
Mbona huyo Bashite hajalalamika? ajitokeze kulalamika kuwa ni mimi nimeimbwaKamtaja bashite jipu linahitaji kutumbuliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona huyo Bashite hajalalamika? ajitokeze kulalamika kuwa ni mimi nimeimbwaKamtaja bashite jipu linahitaji kutumbuliwa
Duuh na wewe ndugu yako Yesu? maana wabongo kwa kujifanya Wayahudi /Waisraeluonevu gani wewe ulioupata? ndugu eleza uonevu wako na sio kuegemea kwa wengine
upuuziYale ya Lema lazma yamkute huyu
atatoka tuuNatumain tutamkosa mtaan kwa muda mref sana
Unaandika hata hujui unachoandika au we ndio kila k2 ndio mzeeSafi sana, ashughulikiwe ipasavyo, kucriticise ni haki ila kutukana ni jinai.
Msanii wa kizazi kipya Emanuel Elibarik alimaarufu kama NEY wa mitego amekamatwa asubuhi hii huko morogoro
View attachment 486993
Sehemu ya wimbo wa Ney wa Mitego:
Hivi Uhuru wa Kuongea bado upo? Siamini nchi inaendeshwa kwa kiki!
Nasikia kuna viongozi wamefoji vyeti? Wapooo! Mheshimiwa hivi unamjua Bashite kutoka Kolomije? We si Dokta wa kutumbua majipu?
We mtu gani sasa? Hutaki kushauriwa, hutaki kukosolewa? ...Naona kichaa kapewa rungu! Hahahaha.
========
Jeshi la Polisi limethibitisha kuwa linamshikilia msanii Ney wa Mitego, kwa tuhuma za kutoa wimbo unaokashifu Serikali iliyopo madarakani.
Acha usumve, katukana wapi?Safi sana, ashughulikiwe ipasavyo, kucriticise ni haki ila kutukana ni jinai.
Ndan ya kibatala hashughulikiwi mtu hapaSafi sana, ashughulikiwe ipasavyo, kucriticise ni haki ila kutukana ni jinai.
Ameongea mafumbo ya kukashf serikal yetu na viongoz waliopo madarakan ashughulikiwe kwa kwelKatukana vipi? Hebu tutajie baadhi ya matusi aliyoyatoa...
ametoa tusi gani hapo sasa? au wewe ndio hauna marinda, mbona umeruka sana kama umekalia kidole cha mtu?Safi sana, ashughulikiwe ipasavyo, kucriticise ni haki ila kutukana ni jinai.
[emoji23]Hivi Kuna mtu anaitwa Bashite?
[emoji23]
Tuombe isiwe hivyoNa Nikki naye Kasema Baby yake kampa Madaraka yamemlevya,sijui naye atakutwa Central kesho