JPM kajipiga bao mwenyewe. Huu wimbo utakuwa mwiba mchungu kwa Makonda na Magu mwenyewe.Kwa bao mlilopigwa leo, endelea kutafsiri lolote lile kwa kuchakachua hadi mchoke.
Jana uliyaandika haya!?
Hapa kazi tu
Wakati mwingine mjaribu kumtumia mwanasheria kwenu nguli kuliko wote Tanzania bwana Lissu awafundisheni machache kuhusu mwenendo wa makosa ya jinai na kukamatwa kwa Mtuhumiwa na sehemu ya kutendeka kosa.Kwanini watanzania hamtaki kushughulisha bongo jaman?
Huyu Ney, alikua anawindwa na Maguful na team yake A.K.A Daudi Bashite, wakaona ni aibu yeye kukamatiwa hapa dar ambapo watoto Wa mjini Sikh hizi wanahoji kila kitu, wakatengeneza zengwe akamatiwe Morogoro, ili ionekanae kwamba, makosa kafanyia kule. Lakini sasa RPC Wa Morogoro akamuogopa Mungu, na hii ni ishara kwamba, hata jeshi la police limeanza kumchoka bwana Sana'a, akaamua kusema ukweli kwa maneno haya;
Shitaka lake liko Darisalama, sisi tumepewa tu maelekezo kwamba tumkamate, hivyo tutampeleka dar na hatutaki kukaa naye hapa.
Huu ni uzalendo Wa kiwango cha juu, na sidhani kama kuna police alishawahi kufanya hivi tangu Uhuru Wa nchi hii. Mungu mbariki huyu MTU.
Ney mtafute umshukuru, ungekwisha.
Wakati mwingine mjaribu kumtumia mwanasheria kwenu nguli kuliko wote Tanzania bwana Lissu awafundisheni machache kuhusu mwenendo wa makosa ya jinai na kukamatwa kwa Mtuhumiwa na sehemu ya kutendeka kosa.
Kesi yake lini mkuu...wewe ni jinga sana...vipi imekuwaje muhalifu kaachiwa tenaWacha akakalie UTI kwanza hayo utayajua mwenyewe siku ya kesi
Uliyedhani muhalifu ndo hivyo kashaachiwa..vipi umejisikiaje imekuuma sana eeh??Ndo ataelezea sasa huko polisi
Wewe virus huchoki kutetea ujinga?
JPM kajipiga bao mwenyewe. Huu wimbo utakuwa mwiba mchungu kwa Makonda na Magu mwenyewe.
halafu ikawaje ?Ni maneno kama porojo mnazoshinda mnaandika
Mtanyooka tu
Makonda oyeeeee
Naona mnafukua makaburi na kuamsha popo tu leo kuhusu Nay wa Mitego (Emmanuel Elibariki).Tunaanza upyaaaaaaaaaaa !!!