Morogoro: Msanii Emmanuel Elibariki 'Nay wa Mitego', akamatwa na Polisi

Morogoro: Msanii Emmanuel Elibariki 'Nay wa Mitego', akamatwa na Polisi

Kwa bao mlilopigwa leo, endelea kutafsiri lolote lile kwa kuchakachua hadi mchoke.

Jana uliyaandika haya!?

Hapa kazi tu
 
Hapo ni kweli maana morogoro RAIA mwema hivi ukikamatwa ukapelekwa huko Mahenge unaweza kusomewa shitaka ukapigwa faini ya buku ukakosa na ukaenda gerezanj
 
Kila mtu atakuja na theory yake. Ila mwisho wa siku hii nchi itaendelea kuendeshwa kimaigizo. Na viwanda vya ahadi mtavisahau kama mlivyosahau maisha bora kwa kila mtanzania.
 
Nina uhakika wa asilimia nyingi kuwa aliyetoa amri ya kukamatwa kwa Nay ni Daudi Albert Bashite RC wa Dsm.
 
Kwanini watanzania hamtaki kushughulisha bongo jaman?

Huyu Ney, alikua anawindwa na Maguful na team yake A.K.A Daudi Bashite, wakaona ni aibu yeye kukamatiwa hapa dar ambapo watoto Wa mjini Sikh hizi wanahoji kila kitu, wakatengeneza zengwe akamatiwe Morogoro, ili ionekanae kwamba, makosa kafanyia kule. Lakini sasa RPC Wa Morogoro akamuogopa Mungu, na hii ni ishara kwamba, hata jeshi la police limeanza kumchoka bwana Sana'a, akaamua kusema ukweli kwa maneno haya;

Shitaka lake liko Darisalama, sisi tumepewa tu maelekezo kwamba tumkamate, hivyo tutampeleka dar na hatutaki kukaa naye hapa.

Huu ni uzalendo Wa kiwango cha juu, na sidhani kama kuna police alishawahi kufanya hivi tangu Uhuru Wa nchi hii. Mungu mbariki huyu MTU.

Ney mtafute umshukuru, ungekwisha.
Wakati mwingine mjaribu kumtumia mwanasheria kwenu nguli kuliko wote Tanzania bwana Lissu awafundisheni machache kuhusu mwenendo wa makosa ya jinai na kukamatwa kwa Mtuhumiwa na sehemu ya kutendeka kosa.
 
Kama wangeendelea kumshikilia kisa kasema bashite hana cheti basi tungetaka na gwajima akamatwe
 
Mimi najiuliza rais alivyoapishwa tu kachukua gari huyoo mpaka rwanda .

Wakasema ameenda kuzidua ujenzi wa daraja la lusumo mpakani mwa tz na rwanda kisha akaendelea na safari mpaka kigali , ya kigali hatukuyajua sijui alienda HIJA au masomoni au kuchukua PHD ya utawala maana alivyorudi tu ndio zikaanza amri

Tusaidieni lumumba alienda kufanya nini

Mtukufu alienda KUGANDAMIZIA utawala wa kisaikatriki alipenda vile wanavyoishi rwanda raia na kagame maana kutoka dar kwenda dodoma kama kuna msafara wake magari yoote yanasimamiswa barabarani mpaka apite hivi kwani hawajui kuwa hizo barabara zinatumika kibabe kwa kiswahili cha kawaida ,ndege wanazo hata kama hawana wameshindwa kukodi kwa siku moja ilikusafilia kutoka dar kwenda ddm ili kutuachia cc tunaopanda champion , kiruto, sai baba tukaendelea kutumia barabara .

Wa lumumba tunaomba bas mfikishe kaujumbe kwamba cc na wale tuna kosa kufika mahali kwa wakati kwa sababu ya kupigwa pembeni magari yote mpaka mkuu upite
Halafu inakuwa hiendani na ile kauli mbiu yetu ya ha pa kazi tu kwa sababu mda huo tunakuwa kwe basi lililosimama kupisha mkuu upite kwanza.......
 
Hahaa bashite ameogopa kuitwa mahakamani ili kuthibitisha kuwa yeye ni bashite na ametukanwa!
 
Wakati mwingine mjaribu kumtumia mwanasheria kwenu nguli kuliko wote Tanzania bwana Lissu awafundisheni machache kuhusu mwenendo wa makosa ya jinai na kukamatwa kwa Mtuhumiwa na sehemu ya kutendeka kosa.

Limekushuka shuuu
 
Back
Top Bottom