Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 882
- 3,337
Najiuliza swali hilo pia,Kwa hiyo Msiba wameuweka hapo hapo relini? daaah
Haiwi na sumaku bali kuna nguvu ya uvutano inapotembea tena kwenye physics ya Roger Muncaster kaelezea hili suala,Hiv tren inakuaga na sumaku au n nn? Kuna bus bunda express iligongwa singidani pale dereva anasema aliona gari inakua nzito ghafla chuma ikafika watu wa siti ya nyuma wote walifia palepale.
Duh....! Unalipwa ? Au Ndo Akili Za Nyumbu?Wapumzike kwa amani, 😭
Bora hata hiyo Bajaj ingekuwa imembeba Ndugai, Sabaya, Musiba wakaungane na Shujaa wao jahanam
Toa somo mkuuHaiwi na sumaku bali kuna nguvu ya uvutano inapotembea tena kwenye physics ya Roger Muncaster kaelezea hili suala,
Pole kwa wafiwa