Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,433
- 8,585
Habari Wadau,
Nina frame mjini Morogoro, eneo la Sabasaba, eneo zuri kabisa kwa biashara ya nguo (nafuu), viatu, jezi, nk, jumla na rejareja. Pia ni eneo lenye mnada siku ya Jumapili.
Tatizo sina mtaji wa kutosha kama wanaonizunguka… nakuita wewe mwenye mali, njoo tushirikiane, lete mali tuuze, upate chako, nipate changu kadri ya makubaliano.
Kwa walio serious tu, wanicheki Inbox
Uje uone eneo na tukubaliane.
Nina frame mjini Morogoro, eneo la Sabasaba, eneo zuri kabisa kwa biashara ya nguo (nafuu), viatu, jezi, nk, jumla na rejareja. Pia ni eneo lenye mnada siku ya Jumapili.
Tatizo sina mtaji wa kutosha kama wanaonizunguka… nakuita wewe mwenye mali, njoo tushirikiane, lete mali tuuze, upate chako, nipate changu kadri ya makubaliano.
Kwa walio serious tu, wanicheki Inbox
Uje uone eneo na tukubaliane.