Morogoro: Rais Samia ashiriki Mkutano Mkuu wa 31 wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT)

Morogoro: Rais Samia ashiriki Mkutano Mkuu wa 31 wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT)

Sisi tunataka katiba mpya. Nothing more or less.
Mh Raisi anafanya sana hii mikutano na taasisi za kikristo,Hawa ni wadau wa maendeleo lakini sio pekee,akutane na sekta binafsi,ndiyo inayotoa ajira na kukuza uchumi,akutane na wafanyabiashara,wasanii wa bongofleva,vijana wa vyuo vikuu,wanataaluma,wanasayansi,na matajiri.

Watu wadini Hawa siku zote wanataka favour tu,hawaleti pesa mezani,hawajengi viwanda,wanataka wasilipe Kodi wakileta magari ya hospitari zao lakini huduma hawatoi Bure.

Mhe Raisi kutana na Bakheresa,IPP media, Mo dewji,na matajiri wengine wengi
 
Tangu achukue ofisi kazi yake kubwa ni kufanya mikutano na kuteua.
 
Back
Top Bottom