Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Then hakuna haja ya kuiita highway kama unajaza matuta,hao walikosea toka mwanzo wangeweka chamber za kuvukia chini.Zebra ya kibanda cha na zebra zote za hiyo highway zimekaa kimchongo sana,solution ya maengeneer hapo itakua ni kuweka matuta kwenye highway badala ya daraja la wavuka kwa miguu 😃
Ile barabara ukivuka taa za kwa msuguli inatamanisha kukimbia,pale kibanda ile zebra ipo kwenye bus stop ya mchongo,madereva wasio makini awi na tahadhari kama bus liliposimama kushusha abiria mbele kuna zebra,shida inaanzia hapo,kwa sasa ile zebra wangeitoa pale karibu na kituoHiyo barabara ndipo napopita kila siku ukweli hapo siyo sehemu salama ya kuvuka hata kwa watu wazima.
Madereva wanakimbizana hovyo hawafuati sheria sijui ni kwa sababu pana kona labda zebra huwa hawaioni?lakini kutoka ilipo hiyo kona na ilipo zebra crossing ni kiasi cha metre 30 kwa umbali huo unaweza kuona jinsi watu wasivyotii sheria.
Upo sahihi sana.Ile barabara ukivuka taa za kwa msuguli inatamanisha kukimbia,pale kibanda ile zebra ipo kwenye bua stop ya mchongo,madereva wasio makini awi na tahadhari kama bus liliposimama kushusha abiria mbele kuna zebra,shida inaanzia hapo,kwa sasa ile zebra wangeitoa pale karibu na kituo
Mdaraja wa manzese mkubwa wote ni la kizamani,wenzetu siku hizi wanajenga simple tu au hata kuna vivuko vya underground tena huko wanaweka frem za biashara kabisa,mipango ya zebra kwenye highway walishayaacha kitambo sanaHapo ni daraja la juu Kama la manzese la wavuka kwa miguu
Unawajua madereva wa bongo na bidaboda akili zao, hata kukiwa na Taa kama hamna askari watapita tuu, dawa ni boonge la tutaPolice wako wapi, hao wananchi nao wanakosea sana, highway huwezi weka matuta, sbb utaua watu wengi sana ukiweka matuta..
Hao watoto inatakiwa traffic light ndio wapite, sio kila mahala wanapita, highway ukiweka matuta kila siku ni ajali tena mbaya sana na vifo vingi, hao, wananchi wao wanajua matuta tu, polisi wawakamate haraka
Wewe ni pumbaf, stupid kabisaUnawajua madereva wa bongo na bidaboda akili zao, hata kukiwa na Taa kama hamna askari watapita tuu, dawa ni boonge la tuta
Mkuu wewe umetembea!!!Then hakuna haja ya kuiita highway kama unajaza matuta,hao walikosea toka mwanzo wangeweka chamber za kuvukia chini.
Mbezi mwisho kutoka shell zamani wamejaza mavyuma sasa sijui kwa akili zao walitegemea kuweka barabara nzima!
Hiyo highway ina polisi wengi sana wanafanya kazi gani kwenye hizo zebraWananchi wanasema watoto wanagongwa sana na Magari mahali hapa japo kuna ZEBRA.