MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Wapuuzi tu hao, maendeleo yana gharama, wawavushe watoto wao, waache kuishi kwa mazoea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dawa yao wanaijuamadereva wa magari wana roho mbaya sana
Kwa akili za mi Africka bila kufanyiwa hivo watu watapasuliwa kila sikuWewe ni pumbaf, stupid kabisa
Unaandika ujinga gani huu.Upo sahihi sana.
Kwa hiyo hii inayoshikamana na stand wangeiuwa ikatumika ile kule chini karibu na daraja,natamani wahusika wangekuwa wanapita hapa waone hili wazo.
Nimekuelewa vizuri sana.Unaandika ujinga gani huu.
Kwahiyo mtu akitaka kuvuka hapa, atembee mpaka kuleeee nilipo kivuko.
Huoni unazidi kuwatesa Pedestrians na kuwashawishi wavuke sehem isio na Zebra.
Ni sawa na useme eti Tanroad wakiondoe kivuko cha Ubungo Riverside watu wakavukie Hostel.
Tumia akili.