Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Napenda kumtaarifu RTO wa Morogoro kuwa kuna trela la semi limetelekezwa tangu Jumamosi last week mpaka jana usiku mbugani mikumi kama kilomita 15 kutoka mjini, trela hilo halina alama zozote za tahadhari, halina reflective stickers wala triangle, tumepita hapo jana majira ya saa 2 na bus nusura tujigonge as mbele yetu kulikuwa na lori linakuja taa zikiwa full light
Yawezekana tukawa wachache kati ya wengi walionusurika kujibamiza kwenye hilo trela
Nawasilisha
Yawezekana tukawa wachache kati ya wengi walionusurika kujibamiza kwenye hilo trela
Nawasilisha