DOKEZO Morogoro: TAKUKURU chunguzeni Mahakama ya Mwanzo Nunge, kunanuka Rushwa

DOKEZO Morogoro: TAKUKURU chunguzeni Mahakama ya Mwanzo Nunge, kunanuka Rushwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

baro

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2014
Posts
3,129
Reaction score
4,028
Mh. Msajiri wa Mahakama kuu ya Morogoro, napenda kukutaarifu kuwa katika mahakama ya Mwanzo Nunge kuna Rushwa iliyokithiri.

Mahakimu wengi hapo ni changamoto sana kwa wananchi ambao ni wateja wa Mahakama wasio na uwezo wa kifedha. Mfano Kuna kesi moja ya Mirathi ambayo ni ya Mzee fulani (jina kapuni) amekuwa akizungushwa kuhusu haki yake na kupelekea kuambiwa atoe Tsh. 500,000 ili aweze kumsaidia.

Siyo huyo Mzee tu kiufupi ni kwamba rushwa imekuwa kubwa sana Mahakama ya Mwanzo Nunge na haki za wananchi wasio kuwa na pesa kuporwa na kinachofanywa ni kupindisha uamuzi wa kesi mbalimbali.

Sisi, kama whistleblowers tunaomba Msajiri wa Mahakama kuu Morogoro tupia jicho kesi zote kutoka mahakama hiyo, inaharibu image ya Mahakama.

Ili kujihakikishia mahakama fanyeni uchunguzi kwa kushirikiana na TAKUKURU, mtagundua mengi na mtakuwa mmesaidia kuokoa haki za watu zinazoporwa kwa rushwa mahakamani hapo.
 
Hili ni tatizo kubwa sana, wanaacha sheria, wanaziacha kanuni, wana concentrate kukumbatia rushwa na ahadi toka kwa upande unaohaidi fedha tamu, wapo tayari kupindisha sheria. HOVYO KABISA!
 
Mh. Msajiri wa Mahakama kuu ya Morogoro, napenda kukutaarifu kuwa katika mahakama ya Mwanzo Nunge kuna Rushwa iliyokithiri.

Mahakimu wengi hapo ni changamoto sana kwa wananchi ambao ni wateja wa Mahakama wasio na uwezo wa kifedha. Mfano Kuna kesi moja ya Mirathi ambayo ni ya Mzee fulani (jina kapuni) amekuwa akizungushwa kuhusu haki yake na kupelekea kuambiwa atoe Tsh. 500,000 ili aweze kumsaidia.

Siyo huyo Mzee tu kiufupi ni kwamba rushwa imekuwa kubwa sana Mahakama ya Mwanzo Nunge na haki za wananchi wasio kuwa na pesa kuporwa na kinachofanywa ni kupindisha uamuzi wa kesi mbalimbali.

Sisi, kama whistleblowers tunaomba Msajiri wa Mahakama kuu Morogoro tupia jicho kesi zote kutoka mahakama hiyo, inaharibu image ya Mahakama.

Ili kujihakikishia mahakama fanyeni uchunguzi kwa kushirikiana na TAKUKURU, mtagundua mengi na mtakuwa mmesaidia kuokoa haki za watu zinazoporwa kwa rushwa mahakamani hapo.
Hiyo mahakama naijua vizuri. Hiyo sio mahakama bali ni pango la wala rushwa. Nakushukuru sana kwa kuthubutu kuweka ukweli wazi.
 
Ushahidi wa hilo jambo unao?
UTAMUONA HAKIMU ANA BASE UPANDE MMOJA NA UPANDE MWINGINE HAUSIKILIZWI, PIA HAKIMU ANAKUWA MKALI KWA UPANDE MMOJA, ULE UPANDE ANAOPATIA AU KUHAIDIWA FEDHA ANAKUWA MPOLE, HAYA NDIYO MAZINGIRA YA RUSHWA HALISI.
-Ilala
-Temeke
-Kinondoni.
 
UTAMUONA HAKIMU ANA BASE UPANDE MMOJA NA UPANDE MWINGINE HAUSIKILIZWI, PIA HAKIMU ANAKUWA MKALI KWA UPANDE MMOJA, ULE UPANDE ANAOPATIA AU KUHAIDIWA FEDHA ANAKUWA MPOLE, HAYA NDIYO MAZINGIRA YA RUSHWA HALISI.
-Ilala
-Temeke
-Kinondoni.
Huu ndio ushahidi?
 
Mh. Msajiri wa Mahakama kuu ya Morogoro, napenda kukutaarifu kuwa katika mahakama ya Mwanzo Nunge kuna Rushwa iliyokithiri.

Mahakimu wengi hapo ni changamoto sana kwa wananchi ambao ni wateja wa Mahakama wasio na uwezo wa kifedha. Mfano Kuna kesi moja ya Mirathi ambayo ni ya Mzee fulani (jina kapuni) amekuwa akizungushwa kuhusu haki yake na kupelekea kuambiwa atoe Tsh. 500,000 ili aweze kumsaidia.

Siyo huyo Mzee tu kiufupi ni kwamba rushwa imekuwa kubwa sana Mahakama ya Mwanzo Nunge na haki za wananchi wasio kuwa na pesa kuporwa na kinachofanywa ni kupindisha uamuzi wa kesi mbalimbali.

Sisi, kama whistleblowers tunaomba Msajiri wa Mahakama kuu Morogoro tupia jicho kesi zote kutoka mahakama hiyo, inaharibu image ya Mahakama.

Ili kujihakikishia mahakama fanyeni uchunguzi kwa kushirikiana na TAKUKURU, mtagundua mengi na mtakuwa mmesaidia kuokoa haki za watu zinazoporwa kwa rushwa mahakamani hapo.
Kuna kazi nyìngine laana njenje isee!
 
Back
Top Bottom