DOKEZO Morogoro: TAKUKURU chunguzeni Mahakama ya Mwanzo Nunge, kunanuka Rushwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mahakama zote ni rushwa tupu hakuna haki
 
Mahakama za Tanzania rushwa ni kama damu kwenye mwili wa binadamu
Nakumbuka kuna mwanafunzi alikuwa anafanya mafunzo kwa vitendo mahakamani kwa siku alikuwa hakosi 20, 30 au 50 huyu alikuwa mwanafunzi je? Hakimu alikuwa anapata ngapi

Kuna na takukuru kazi yao kubwa kupalilia na kupamba rushwa
 
Msajili wa Mahakama Kuu yeye mwenyewe ndio mla rushwa Namba Moja katika Mahakama ya Tanzania.
Hao Wasajili wa Mahakama Kuu Kanda ya Morogoro ni tatizo kubwa sana, rushwa hapo inatembezwa nje nje, Wala hakuna kificho. Mahakama Kuu Kanda ya Morogoro inanuka rushwa, imeoza kabisa, kama hauna rushwa jiandae kudhulumiwa haki yako.
 
Mahakama zote ni rushwa tupu hakuna haki
Hata kwenye Mabaraza ya Ardhi ya Wilaya nako hali ni mbaya zaidi. Hapo Baraza la Ardhi la Wilaya ya Morogoro kuna huyo Hakimu wa kiume ndiyo janga kubwa zaidi, amekuwa akipokea rushwa wazi wazi, Mawakili ndio watu wake ambao wamekuwa wakimpelekea rushwa.
 
Wanapata ajira kwa rushwa hivyo lazima wapokee rushwa wazi wazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…