nipekidogo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2019
- 1,587
- 3,035
Kwanini msiwe mnaanzisha nyuzi zenu na huyo jamaa yako, mtu kaleta uzi wake halafu nyie mnaingiza mambo yenu? Sio poa namna hiyo!Ila anaweza kudhalilishwa na wahuni wa maccm kwa kupewa sumu ya panya[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hiyo ni njia ya Tembo afisa amekuwa politically correct tu. Usipoamini achaSioni tofauti na alivyosems afisa wanyamapori tofauti ni uwaslilishaji tuu ! Btw he is more practical.
Probably hiyo itakuwa njia ya tembo ya miaka mingi coz tembo ana uwezo wa kutunza kumbukumbu kwa muda wa miaka 50 so sishangai leo hii hao tembo kuikumbuka njia yao.Huyo afisa ahojiwe vizuri atoe maelezo ya kitaalam. Kama hao tembo walipita kutoka upande mmoja kwenda mwingine wa hizo ekari basi hiyo ni njia ta tembo na hamna kuwalaumu tembo hapo. Siyo kuweka maneno ya kutegesha eti tembo wamevutiwa na harufu lakini pia wanakumbukumbu.
Katoa maelezo simple as he is ain't animals' expert.Huyo afisa ahojiwe vizuri atoe maelezo ya kitaalam. Kama hao tembo walipita kutoka upande mmoja kwenda mwingine wa hizo ekari basi hiyo ni njia ta tembo na hamna kuwalaumu tembo hapo. Siyo kuweka maneno ya kutegesha eti tembo wamevutiwa na harufu lakini pia wanakumbukumbu.
Paragraph ya tatu inasema afisa wanyamapori mkoa wa Morogoro.Katoa maelezo simple as he is ain't animals' expert.