Morogoro: Tembo waharibu zaidi ya hekari 700

Ila anaweza kudhalilishwa na wahuni wa maccm kwa kupewa sumu ya panya[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kwanini msiwe mnaanzisha nyuzi zenu na huyo jamaa yako, mtu kaleta uzi wake halafu nyie mnaingiza mambo yenu? Sio poa namna hiyo!
 
Reactions: amu
Probably hiyo itakuwa njia ya tembo ya miaka mingi coz tembo ana uwezo wa kutunza kumbukumbu kwa muda wa miaka 50 so sishangai leo hii hao tembo kuikumbuka njia yao.
Wananchi wa hiko kijiji ndio wavamizi
 
Katoa maelezo simple as he is ain't animals' expert.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…