Morogoro to Makutupora SGR.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Hapa kazi tu!!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Watapata tabu sana.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Morogoro to Makutupora SGR.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Hapa kazi tu!!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Watapata tabu sana.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ushamba tu unawasumbua, huko Afrika kusini makaburu walijenga mareli ya kisasa na maflyovers lakini walipingwa kwa sababu ya matendo yao ya kutokujali haki za wenyeji, hivyo hii serikali ya ccm haina tofauti na hao makaburu wa SA maana leo hii magofool mmemfanya mungu mtu asiyekosoleka, na ukimkosoa utakiona cha mtema kuni
Halafu wewe bila aibu unakuwa wa kwanza kupanda. Tuache na ******** wetu we pambana na hali yako kama unaona havikuhusu.
 
y
Kwa taarifa yako hiyo YouYube account niya Yarp Merkezi
Wewe mkongomani nilikuambia uambie mod akufungulie section yako ya Congo news and politics tuweze kuangalia maendeleo ya Congo. Hivi unajua Nchi yenu inategemea Kenya zaidi?
 
Ushamba tu unawasumbua, huko Afrika kusini makaburu walijenga mareli ya kisasa na maflyovers lakini walipingwa kwa sababu ya matendo yao ya kutokujali haki za wenyeji, hivyo hii serikali ya ccm haina tofauti na hao makaburu wa SA maana leo hii magofool mmemfanya mungu mtu asiyekosoleka, na ukimkosoa utakiona cha mtema kuni
Magufuli amemtesa nani? Au mkuu ulikuwa na Vyeti feki nini..
 
Duh. Hili sasa ni povu. leo hii unaanza kushabikia makaburu!!!? Nadhani vijana mnamapatizo ya kijinga sasa. We need to take care of you kwenye mitandao.
Halafu watakwambia wanataka Uhuru wa mawazo, wanataka kusikilizwa, he hehehe..
Ni muhimu sana kuwadhibiti, na
Kwa uelewa wa hawa ni Lazima tuwasaidie,
Lazima tuamue what is good for them.
 
Naona jamaa wa Congo unajilazimisha kwenye nchi ya wenyewe
Wacongo ni Watz mzee,
Njoo dar uone vile wapo wengi wanafurahia maisha pamoja nasi, wengi wao wako very talented, hawana ukora na wizi na ujuaji na Roho mbaya kama Wakenya,
Binafsi nawakubali sana Wacongo, hawanaga makuu na Mtu,
Besides, Congo is Tz's very important brother and Trading partner.
 
Huyu anayeleta vurugu hapa ni nani eti?, hasira na chuki nyingine hazina maana, acha na wenzio wajadili mambo yao kwa uhuru kama vile unavyotaka kupewa uhuru wako pia. Kwanini unataka kuvuruga kila kitu, ustaarabu ni kitu cha bure, kuwa wa kwanza kuonyesha mfano ili na wewe uheshimiwe....!
 
Angalizo:Watanzania tuache tabia ya kuainisha kila kitu na jina Jpm, tumuabudu Mungu zaidi .
 
Wacongo ni Watz mzee,
Njoo dar uone vile wapo wengi wanafurahia maisha pamoja nasi, wengi wao wako very talented, hawana ukora na wizi na ujuaji na Roho mbaya kama Wakenya,
Binafsi nawakubali sana Wacongo, hawanaga makuu na Mtu,
Besides, Congo is Tz's very important brother and Trading partner.
Wacongo wanasaidia TZ na nini? Hawa watu kazi ni kupigana miaka nenda miaka rudi. Wana mali chini ya ardhi lakini vita ndio wanapenda zaidi.
 
Wacongo wanasaidia TZ na nini? Hawa watu kazi ni kupigana miaka nenda miaka rudi. Wana mali chini ya ardhi lakini vita ndio wanapenda zaidi.
How many people died during your 2017 elections,
More than 100, Right?
And 2007???
Alshabab killing hundreds on weekly bases,
What is the difference between Kenya and Congo?
 
Back
Top Bottom