IROKOS
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 10,182
- 7,839
Daah poleni sana [emoji120] [emoji120]March 7, 2020
Morogoro, Tanzania
MAFURIKO MOROGORO: Wodi za Wagonjwa Zajaa Maji, MIGAHAWA MADUKA YAFUNGWA
Kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mkoani Morogoro, wananchi wa Morogoro wamejikuta katika wakati mgumu baada ya nyumba zao na maaneo ya kazi kujaa maji na kusimamisha huduma kusimama.
Source: Global TV online
Sent using Jamii Forums mobile app