March 7, 2020
Morogoro, Tanzania
MAFURIKO MOROGORO: Wodi za Wagonjwa Zajaa Maji, MIGAHAWA MADUKA YAFUNGWA
Kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mkoani Morogoro, wananchi wa Morogoro wamejikuta katika wakati mgumu baada ya nyumba zao na maaneo ya kazi kujaa maji na kusimamisha huduma kusimama.
Source: Global TV online